Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Tanganyika hawana ubavu wa kutulipa ,uwezo huo hawanao wakitaka wasitake, Tanganyika wailipe Zanzibar ? Naona hawana cha kulipa masikini za mungu wacha wajipapatuwe na adui CCM.
 
View attachment 1768230

Hivi Nyerere na Karume walivyochanganya ule udongo wa bara na visiwani kwenye kile chungu waliweka agano gani?

Na baada ya kuuchanganya waliupeleka wapi?

Atakayejua kile chungu kilipo na udongo wake na yale maneno anaweza vunja Muungano.... na sasa sababu hauvunjiki tuunde Serikali moja malalamiko yaishe
Kuna msemo unasema Picha ni zaidi ya maneno. Hii ni dhahiri inatoa picha halisi juu ya muungano. Nyerere kabeba vikopo vyote vya mchanga akilazimisha muungano. Ilitakiwa wawili wachanganye mchanga kuashiria hiari ya kuunganisha.

Ukisoma machapisho mengi utaona bado wengi wanafikiri kama vile Zanzibar ni mali ya Tanganyika. Hivyo wanaweza tena kulazimisha na kuifuta serekali ya visiwa hivyo. Nataka niwapeni pole sana visiwa vile kunaishi binadaamu kama ilivyo sehemu nyengine ya dunia. Hakuishi wanyama pori kule ukafikiria ukiamka leo asubuhi unasema serekali moja!
 
Kwani wameshalipa umeme wa Tanesco unaoenda huko? Kama vp kila mtu abaki kwake tu....yaani kimkoa tu kipewe asilimia 4%.....??
Ni sawa kipindi hicho tulikuwa na mikoa 25 kwahiyo kila mkoa 4% wapewe tu kama walikubariana
 
Hio 4.5trillion ni ndogo kwani inahusu Misaada tu.
Kwenye Mapato ya pamoja ya muungano Zanzibar wanatakiwa wapate 4% kisheria lakini hawajahi kupewa 4% badala yake hupewa 2% tu.
Kuna ajira katika wizara ya muungano makubaliano ni Zanzibar wapate 21% lakini wanapata ajira zisizo zidi 1%
Thamani ya madai ni zaidi ya 45trillion
 
Nakupa hasara moja kubwa tu siku zanzibar wakipewa nchi yao..

Bandari ya dar itageuka kuwa feeder port hili ni zaidi ya anguko huku bara....

Zanzibar wakiweza kujiamulia mambo yao, Kariakoo tutaizika
 
Tanzania ni Muungano wa Nchi mbili Tanzania bara na Zanzibar.


Kwani kuna nchi inaitwa Tanzania bara?

Kwanini inafika kuitaja “ Tanganyika” kunakuwa na Kigugumizi?

Lengo lenu ni lipi hasa tujue ?!

Je ndivyo vitabu vilivyoandikwa mashuleni kwenye Somo la historia ya Taifa hili?
 
Zanzibar population yao haiwez kufika 4mil


Isipokuwa wako na mikakati ya kuzailiana kwa sana baada ya muda fulani utashangaa ijapokuwa wanajirisk pia .

Kwenye imani yao huko wanahamasishwa kuzailiana sana!

Waache wakristo kujidai uzungu kuzaa watoto 2 tu.

Wenzao wanahamasishana kufyatua watoto hasa wakiamini kuna wakati utafika wao wengi kuliko Wakristo.

Nazani wanaamini baadaye Wakiwa wengi nchi itakuwa ya Kiislam na utawala wa Sharia.
 
Isipokuwa wako na mikakati ya kuzailiana kwa sana baada ya muda fulani utashangaa ijapokuwa wanajirisk pia .

Kwenye imani yao huko wanahamasishwa kuzailiana sana!

Waache wakristo kujidai uzungu kuzaa watoto 2 tu.

Wenzao wanahamasishana kufuatua hasa.

Nazani wanaamini baadaye Wakiwa wengi nchi itakuwa na sharia.

Kwani wakristo wanapohamasishana Na ndoa Za jinsia Moja huwa mnataka mzae watoto wangapi?
 
Hii inatuchosha sana wa-bara na wengi wao tumejaliwa kukaa kimya. Nadhani ni vizuri kutafakari kabla ya kuropoka. Huyu dada ni taabu sana
 
View attachment 1768230

Hivi Nyerere na Karume walivyochanganya ule udongo wa bara na visiwani kwenye kile chungu waliweka agano gani?

Na baada ya kuuchanganya waliupeleka wapi?

Atakayejua kile chungu kilipo na udongo wake na yale maneno anaweza vunja Muungano.... na sasa sababu hauvunjiki tuunde Serikali moja malalamiko yaishe
Kumbe hapo kwenye picha na Karume naye anachanganya udongo?
 
Kwani wakristo wanapohamasishana Na ndoa Za jinsia Moja huwa mnataka mzae watoto wangapi?


Kuhamamishana kuzaana kwa mlengo wa kidini kwamba watu wa dini fulani wahamasishwe kuzaliana kwa sana kwa lengo la kufikiri kwamba watakapokuwa wengi waweze kutaka nchi iongozwe kwa mlengo wa itikadi ya dini yao swala hilo ni hila mbaya sana.

Kwanini isiachwe nature ichukue mkondo wake?

Hakuna aliyefanya jitihada ya kufanya Taifa hili liwe na watu wa aina kwa imani na makabila yaliyopo isipokuwa Mungu mwenyewe.

Wakristo wao wako na maisha yao hawana hili wala lile kumbe wenzao wanahamasishana kuzaana ili baada ya miaka fulani dini yao Ndiyo itawale na huenda kulazimisha wasio wa imani hiyo kufanya watakayoyataka.

Ni hila kaka.

Sisi wote ni viumbe wa Mwenyezi Mungu, hakuna aliyejiumba na kujileta Hapa kuwa mtz.

Mtu ukitafakali hayo unaona bora kupendana na kushikamana kama ndugu bila kujali tofauti zetu za kidini, kikabila n.k
 
Kuhamamishana kuzaana kwa mlengo wa kidini kwamba watu wa dini fulani wahamasishwe kuzaliana kwa sana kwa lengo la kufikiri kwamba watakapokuwa wengi waweze kutaka nchi iongozwe kwa mlengo wa itikadi ya dini yao swala hilo ni hila mbaya sana.

Kwanini isiachwe nature ichukue mkondo wake?

Hakuna aliyefanya jitihada ya kufanya Taifa hili liwe na watu wa aina kwa imani na makabila yaliyopo isipokuwa Mungu mwenyewe.

Wakristo wao wako na maisha yao hawana hili wala lile kumbe wenzao wanahamasishana kuzaana ili baada ya miaka fulani dini yao Ndiyo itawale na huenda kulazimisha wasio wa imani hiyo kufanya watakayoyataka.

Ni hila kaka.

Sisi wote ni viumbe wa Mwenyezi Mungu, hakuna aliyejiumba na kujileta Hapa kuwa mtz.

Mtu ukitafakali hayo unaona bora kupendana na kushikamana kama ndugu bila kujali tofauti zetu za kidini, kikabila n.k

Shukrani kwa maelezo
Sasa jibu swali

Hivi nyinyi mnapohamasishana ndoa Za jinsia Moja mnataka mzae watoto wangapi?

Hivi ndoa za jinsia Moja ndiyo maumbile hayo kwa unavyoona wewe?
 
Hii inatuchosha sana wa-bara na wengi wao tumejaliwa kukaa kimya. Nadhani ni vizuri kutafakari kabla ya kuropoka. Huyu dada ni taabu sana
Kwanywe sumu kama ni taabu. Au Kama Tumbo lako limeanza kukukoroga kimbilia chooni haraka
 
Back
Top Bottom