Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Fatuma Karume: Zanzibar inaidai Tanzania bara 4.6 trillion

Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo

Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano

My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu


USSRView attachment 1768148

Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo

Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano

My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja includi

Mwambieni aweke pia Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inaidai Zanzibar kiasi gani?! Na wanavyoijaza dunia ndg zetu hawa bila hizi fursa za ubwete ubwete upande wa pili kuanzia ajira,fursa za kibiashara ardhi tena yenye rutuba sijui wangekuwa wageni wa nani.Tanganyika haiitaji Zanzibar kama Zanzibar inavyoihitaji Tanganyika.Iko wazi,hawa wenye uwezo wasiwahadae wenzao wanaojikongoja.
Hawa warabu weusi ni shida ndugu yangu! mpaka sasa bado ni watumwa wa dini za wenzao!
 
Huyu naye awe na brake maana anazoza kila wakati.
 
Nyie rais wenu anachaguliwa Dodoma na ubavu wa kuvunja Muungano hamna.
Si tatizo atakapochaguliwa Dodoma, inatosha wewe unatambua kuwa Zanzibar kuna rais na hakuna rais wa Tanganyika wala serikali. Muungano hauvunjwi na kibaraka alowekwa Dodoma, wanajua vyema siku wakiacha mkono CCM zanziba ndio kaburi la chama na Muungano
 
Si tatizo atakapochaguliwa Dodoma, inatosha wewe unatambua kuwa Zanzibar kuna rais na hakuna rais wa Tanganyika wala serikali. Muungano hauvunjwi na kibaraka alowekwa Dodoma, wanajua vyema siku wakiacha mkono CCM zanziba ndio kaburi la chama na Muungano
Hata chama cha ndondi kina rais, kwani urais ndiyo issue?
 
TANESCO wakikupatia umeme bila kukukatia licha ya wewe kuwa na deni wamekulazimisha kutumia huo umeme?

Unaelewa kulazimisha maanayake nini?
Nikikupa mfano ndio utachanganyikiwa kabisa... rudisheni chenji kwa wazenji acheni kulialia. Mkiambiwa mrudishe Tanganyika hamtaki mnalazimisha muungano wa serikali mbili huku moja ikiwa imemezwa ingine ikidhulumiwa kwa jina la muungano...
 
Nikikupa mfano ndio utachanganyikiwa kabisa... rudisheni chenji kwa wazenji acheni kulialia. Mkiambiwa mrudishe Tanganyika hamtaki mnalazimisha muungano wa serikali mbili huku moja ikiwa imemezwa ingine ikidhulumiwa kwa jina la muungano...
Mimi ni citizen of the world.Hapa nina mkoba wa Kinyamwezi. Nakaa New York City, the capital of the world.
Inawezekana tusielewane kwa mengi tu.

Nishavuka ubishi wenu wa kijinga wa Tanganyika an Zanzibar. Muungano ambao unaonekana kudhoofika kiasi cha kuweza kufa kabla yangu.

Albert Einstein said Nationalism is an infantile disease, it is the measles of mankind.

I see what he meant.
 
Mimi ni citizen of the world.Hapa nina mkoba wa Kinyamwezi. Nakaa New York City, the capital of the world.
Inawezekana tusielewane kwa mengi tu.

Nishavuka ubishi wenu wa kijinga wa Tanganyika an Zanzibar. Muungano ambao unaonekana kudhoofika kiasi cha kuweza kufa kabla yangu.

Albert Einstein said Nationalism is an infantile disease, it is the measles of mankind.

I see what he meant.
Ndio nini sasa hiki? Ungelikaa kimya ungeeleweka lakini la kujibu na kuja na majitapo uchwara kwamba una mkoba wa unyamwezini halina maana zaidi ya kujianika Mkuu... pole sana.
 
Ndio nini sasa hiki? Ungelikaa kimya ungeeleweka lakini la kujibu na kuja na majitapo uchwara kwamba una mkoba wa unyamwezini halina maana zaidi ya kujianika Mkuu... pole sana.
Nakwambia hivi kama Albert Einstein alivyosema.

Nationalism is an infantile disease. It is the measles of mankind.

Hiyo Zanzibar yenyewe mnayolilia kuichukua hamuwezi.Mmefadhiliwa tangu mapunduzi, kwa sababu mnataka kuwa na nchi lakini watu wa urojo hamna jeshi.

Na mkiichukua inameguka Wapemba watataka yao.

Acheni kutusumbua na kelele zenu, kama mnataka nchi yenu ipiganieni muichukue.

Vinginevyo quit the bitching.
 
Nakwambia hivi kama Albert Einstein alivyosema.

Nationalism is an infantile disease. It is the measles of mankind.

Hiyo Zanzibar yenyewe mnayolilia kuichukua hamuwezi.Mmefadhiliwa tangu mapunduzi, kwa sababu mnataka kuwa na nchi lakini watu wa urojo hamna jeshi.

Na mkiichukua inameguka Wapemba watataka yao.

Acheni kutusumbua na kelele zenu, kama mnataka nchi yenu ipiganieni muichukue.

Vinginevyo quit the bitching.
Nani kakwambia kama hatuiwezi? Ivi Zanzibar unaijua ilivyokuwa kabla ya Muungano? Sisi watu wa urojo tuna JKU nyinyi wala Sembe mna nini? Vichwa mchungwa tu.

Hizo sembe zenu mkishiba ndio mnakaa kuwa eti Zanzibar ikitoka kwenye Muungano na Pemba watadaia yao 😀 😀 😀 hutujui, ndio tutakuwa strong than ever.

Tunaendelea kuipigania nchi yetu. Rais wa Muungano amekuwa mzanzibari ndio kwanza mwaka mmoja mnaanza kuhaha! Woga umekithiri mnaogopa Zanzibar ataiachia kwa upinzani 😀 Msiogope kibaraka chenu bado yule.
 
Yeah ndiyo ishu kubwa tu. Ata Yanga wana bendera.

Tafuteni uhuru wenu watumwa nyie.
Ama wachukue nchi yao, ama wakae kimya.

The ranting online does not help anything.

It just makes them look like weak little bitches.
 
Nani kakwambia kama hatuiwezi? Ivi Zanzibar unaijua ilivyokuwa kabla ya Muungano? Sisi watu wa urojo tuna JKU nyinyi wala Sembe mna nini? Vichwa mchungwa tu.

Hizo sembe zenu mkishiba ndio mnakaa kuwa eti Zanzibar ikitoka kwenye Muungano na Pemba watadaia yao 😀 😀 😀 hutujui, ndio tutakuwa strong than ever.

Tunaendelea kuipigania nchi yetu. Rais wa Muungano amekuwa mzanzibari ndio kwanza mwaka mmoja mnaanza kuhaha! Woga umekithiri mnaogopa Zanzibar ataiachia kwa upinzani 😀 Msiogope kibaraka chenu bado yule.
Unaipigania kwa nini?

Mabua na post za JF?
 
Ama wachukue nchi yao, ama wakae kimya.

The ranting online does not help anything.

It just makes them look like weak little bitches.
You people are the one bitching, forcing a relationship that never worked out!
 
Back
Top Bottom