FB: wananiomba urafiki kisha wanafanya yao bila hata mazungumzo.

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,471
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza:
Si mara ya kwanza ngozi nyeupe kuniomba urafiki baada ya kuwakulibalia wananitumia picha za ngono.
Jamani dunia imekwisha mtu haujazungumza nae kitu chochote unamtupia ujinga inakuaje.
Wa kwanza alivyoona namuuliza maswali mengi alijikausha kujibu, nikaamua kumfungia.
Mda huu nipo zangu online nakutana na ombi la urafiki...
 
Kwahiyo na wewe umeamua kututishia sisi hizi ngono? Hebu toa hayo matusi tafadhari!
 
Kwahiyo na wewe umeamua kututishia sisi hizi ngono? Hebu toa hayo matusi tafadhari!
Sikua na maana mbaya mkuu nisingefanya hivyo naamini neno "WEKA PICHA" lisingekosekana vumila tu.
 
Kuwa makini bro ukiona unapendwa sana na wanawake eti ujue inawezekaa ukawa na nyota ya Ukimwi so kaa nao mbali.
 
Mkuu kuwa makini sana kufungua link au videos from unknown sources, unaweza tumiwa virus ukawa unadukuliwa.
 
uzinzi tu watafuta wateja kia aina bhana!! acha mrudie Mungu
 
Kuna kanuni ambayo mitandao hutumia ili kujua nini unapenda na wao kukuletea habari na matangazo ambayo unapendelea.

Mfano ukiingia xvideos ukawa unaangalia videos za kiafrika xvideos itajifunza kua unapenda video za Africans hivyo itakua ukiingia tu utakutana na videos za hivyo bila hata kusearch.

Tukija kwako.
Unaonekana unapendelea kufuata magrup ya ngono huko facebook au chats zako zipo na watu wa hivyo au hua unalike picha za ngono.

Hivyo FB inatoa suggestions kwa wapenda ngono wenzio kua muombeni huyu urafiki. Na ndiyo maana haukatai maana unajua unachokifuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…