FBI wadai kukuta nyaraka 11 za siri nyumbani kwa Trump, mwenyewe apinga

FBI wadai kukuta nyaraka 11 za siri nyumbani kwa Trump, mwenyewe apinga

Anatafutiwa sababu au ni ujinga wake search warrant ya FBI ilipewa baraka na mahakama
Mtoto wa Biden kafanya maovu mangapi hajachukuliwa hatua? Video zinamuonyesha anatumia cocaine lakini mpaka sasa hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa zaidi.

Issue ya Hillary Clinton na email nalo limechukuliwa hatua gani? Ni kimya tena vyombo vya usalama vya kwao vinamkingia kifua.

Haya yote hayahalalishi kumtetea kilichomkuta Trump. Bali ni misingi ya hakuna aliejuu ya sheria.

Trump ni mwiba kwao! Wanachokifanya ni kumtafutia sababu ya kutoweza kushiriki uchaguzi ujao. Na akipita hapo anachukua kiti cha urais.
 
Watu wanaogopa Trump kuchukua madaraka kwa mara nyingine.

Trump amefanyiwa kila aina ya figisu , wakati huo huo Biden na Hunter wanaendelea kula bata licha ya hao hao FBI kushikilia laptop iliyoibua maswali mengi sana
Ajabu zaidi fundi aliyepelekewa hiyo laptop kwa mara ya kwanza ilivyoharibika na kugundua hayo madudu FBI wakawa wanamsaka ili wamnyamazishe.
 
Nahisi hata vile vitisho vya kuuawa FBI Director na AG watampa kesi ya kupanga
Sijajua ila hii issue inaweza ikaleta kashikashi kwa wafuasi wa Trump huko US.

Kwanza: Issue ya Biden na mwanae licha ya FBI kuwa na laptop yake na hakuna hatua yoyote iliochukuliwa.

Pili: Sakata la email kwa Hillary Clinton nalo mamlaka hawakulichukulia hatua yoyote.

Na kilicho cha ajabu zaidi Nancy Pelosi ameenda Taiwan pamoja na mtoto wake. Safari imemtambulisha kama Spika wa Bunge na si kama Nancy na ndio maana akapewa na ulinzi mkubwa. Kipi kimemfanya asafiri na mwanae kwenda Taiwan? Wajuba wanajua ni kipi kimemfanya aende na mwanae kule.

Nancy anajibu ni escort!
 
Lakini yeye hajakanusha kuwa hakuwa na nyaraka.
Ni kweli, kwani imekwisha kuwa proven kwenye court of law kwamba kafanya kosa ambalo ni tantamount to treason ie treasonable!!

Kila mtu mwenye akili timamu anajua kwamba zoezi la FBI ni politically motivated wanataka kumuwekea Trump a monkey spanner ili hasiweze kugombee Urais kwa mara nyingine - and actually reading between the lines ni wazi the brains behind njama hii ni Biden mwenyewe - yeye na wapambe wake wana muogopa sana Trump wana wasi wasi anaweza kufukua makaburi ya kashifa za mwanae Biden vile vile na kashifa za Hillary Clinton na mumewe.
 
Sheria za marekani zinasema rais hata akishotoka madarakani lazima aendelee kupokea siri za kijasusi. Sasa imejuwaje hao fbi wanaanza kuhangaika na masanduku na wakati huo trump siri
Bado ataendelea kuwa nazo kichwani.
 
Mnakumbuka alivyo fanyiwa figisu angali bado madarakani - Watu hawajui Trump ni binadamu peace sana licha ya Wakati mwingine kutumia mane no ya ukali ukali na vitisho lakini deep down hana neno unlike Biden!!

Kama Trump angeshinda kiti cha Uraisi kwa mara nyingine tena pasingetokea vita huko Ukraine wala hasingeruhusu upelekaji wa silaha nzito nchini Ukraine.
Wewe ni Sheikh Yahaya ?
Halafu jifunze Historia ndefu ya Russia kuvamia mataifa jirani zake.
 
But "her emails" blah blah blah
Watu wanaogopa Trump kuchukua madaraka kwa mara nyingine.

Trump amefanyiwa kila aina ya figisu , wakati huo huo Biden na Hunter wanaendelea kula bata licha ya hao hao FBI kushikilia laptop iliyoibua maswali mengi sana
 
Mtoto wa Biden kutumia cocaine inahusiana vipi na Usalama wa classified documents ambazo Trump aliondoka nazo Ikulu??

Utakuwa ulikuwa bado mtoto wakati FBI inafanya uchunguzi wa '' her emails" na Hillary aki testify kwa masaa mengi sana kwenye Congress. Trump hata hajafikia huko, hii ilikuwa search tu.
Mtoto wa Biden kafanya maovu mangapi hajachukuliwa hatua? Video zinamuonyesha anatumia cocaine lakini mpaka sasa hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa zaidi.

Issue ya Hillary Clinton na email nalo limechukuliwa hatua gani? Ni kimya tena vyombo vya usalama vya kwao vinamkingia kifua.

Haya yote hayahalalishi kumtetea kilichomkuta Trump. Bali ni misingi ya hakuna aliejuu ya sheria.

Trump ni mwiba kwao! Wanachokifanya ni kumtafutia sababu ya kutoweza kushiriki uchaguzi ujao. Na akipita hapo anachukua kiti cha urais.
 
Justice Department na FBI hawafanyi mambo yao kama yanavyofanyika kwenye shot hole countries au banana Republics. Trump alijaribu kufanya hivyo akaangukia pua.
Ni kweli, kwani imekwisha kuwa proven kwenye court of law kwamba kafanya kosa ambalo ni tantamount to treason ie treasonable!!

Kila mtu mwenye akili timamu anajua kwamba zoezi la FBI ni politically motivated wanataka kumuwekea Trump a monkey spanner ili hasiweze kugombee Urais kwa mara nyingine - and actually reading between the lines ni wazi the brains behind njama hii ni Biden mwenyewe - yeye na wapambe wake wana muogopa sana Trump wana wasi wasi anaweza kufukua makaburi ya kashifa za mwanae Biden vile vile na kashifa za Hillary Clinton na mumewe.
 
Sheria ipi?
Itaje jina lake
Sheria za marekani zinasema rais hata akishotoka madarakani lazima aendelee kupokea siri za kijasusi. Sasa imejuwaje hao fbi wanaanza kuhangaika na masanduku na wakati huo trump siri
Bado ataendelea kuwa nazo kichwani.
 
Sheria za marekani zinasema rais hata akishotoka madarakani lazima aendelee kupokea siri za kijasusi. Sasa imejuwaje hao fbi wanaanza kuhangaika na masanduku na wakati huo trump siri
Bado ataendelea kuwa nazo kichwani.

Swali zuri sana sana, na actually ndilo swali ambalo Trump atawabana wabaya wake - as a former President ana siri nyingi sana za Taifa lake kichwani mwake,kwani nyaraka hizo zinazugumzia mambo yepi ambayo Trump hayajui - je, former Rais wa USA akiondoka madarakani anapewa time frame gani ya kuendelea kubaki na some sensitive documents kabla hujazirudisha Serikalini?

Hivi FBI wakipekua makazi ya: Obama, Bush Jr, Bill Clinton - hivi inaingia akilini kwamba watakosa hata nyaraka moja ya Serikali majumbani mwa former US Presidents - personally I don't think??
 
Wewe ni Sheikh Yahaya ?
Halafu jifunze Historia ndefu ya Russia kuvamia mataifa jirani zake.
Mkuu, I don't need somo lolote kuhusu historia ya Urusi wala Continental Europe - naijua vizuri sana tangu 1917 October revolution mpaka sasa, usifikiri waleta hoja hapa ni mambumbumbu kivile - najua lengo lako unataka kuzungumzia some former Soviet Republics ambazo zilikuwa korofi zinarihusu mataifa yao yatumiwe na western Nations notably the USA ili kuihujumu Urusi, wanapenyeza majasusi,wana-recruit insurgents wa ku-distabilize Russia,wanaruhusu USA ijenge maabara hatarishi yenye lengo la kuzalisha virusi,chemical agents kwa lengo la kuhatarisha maisha ya binadamu.

Mataifa tajwa hapo juu hayana hata shukrani za kuishukuru Urusi kuwakubalia kuwapatia uhuru bila shinikizo, upumbavu na njaa zao zinawafanya kutumiwa kirahisi na USA kuihujumu Urusi, sasa ulitegemea Urusi ingefanya nini ili kujihakikishia usalama wa Taifa lao - bottom line ni kwamba: licha ya propaganda za magharibi kuisema vibaya Urusi kuhusu hatua Urusi ilizochukua dhidi ya her former Soviet Republics lakini ukweli unabaki kwamba Russia hiko justified kwa hatua walizo chukua kuzidhibiti mataifa yaliyo kuwa yanatumika vibaya kuihujumu Urusi
- who can blame Russians?

Sasa tuje angle nyingine ili tuzungumzie mataifa mengine ambayo yanaongoza katika mauuaji,uvamizi na uharibifu mkubwa wa infrastructures nk, labda nikukumbushe kitu ambacho mataifa mengi upata kigugumizi kulizungumzia, bila shaka kutokana na woga - ni hivi mkuu: tangu USA ipate uhuru kwenye miaka ya late 1770s historia inaonyesha kwamba ndani ya miaka 400+ tangu USA ipate uhuru ni miaka 16 tu ambayo haikuhusika katika vita, uvamizi,kupindua Serikali zilizo chaguliwa kihalali, assassination-kumbuka yaliyo mkumba Patrice Lumumba na wenzake mapema kwenye miaka ya 1960s.

Bottom line is: tunapo shutumu au kulaani mataifa mengine kwa nguvu zetu zote ebu tujaribu ku-strike a balance na sio lawama tu mwanzo mwisho bila ya kuchunguza kwa kina nini kiini cha chanzo cha matatizo/migogoro, hapa na zungumzia Urusi na Uchina kuhusu their neighbors ambao wanatumiwa vibaya/instigated na western Nations specifically the USA kuhujumu Urusi na Uchina ili zisitawalike na ikiwezekana ku-fund colour revolution kwa lengo la kupindua Serikali halali hilo ndilo lilotokea huko Ukraine, sasa angalia kinacho endelea huko!!
 
Swali zuri sana sana, na actually ndilo swali ambalo Trump atawabana wabaya wake - as a former President ana siri nyingi sana za Taifa lake kichwani mwake,kwani nyaraka hizo zinazugumzia mambo yepi ambayo Trump hayajui - je, former Rais wa USA akiondoka madarakani anapewa time frame gani ya kuendelea kubaki na some sensitive documents kabla hujazirudisha Serikalini?

Hivi FBI wakipekua makazi ya: Obama, Bush Jr, Bill Clinton - hivi inaingia akilini kwamba watakosa hata nyaraka moja ya Serikali majumbani mwa former US Presidents - personally I don't think??
Unafikiri hivyo vimaswali vyako F.B.I hawana majibu yake?

Wale hawakurupuki mpaka wanafanya wakifanyacho tayari wameshajiridhisha kuwa wapi ndani ya mstari.
 
Back
Top Bottom