National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Ujinga wa Putin ni upi ? ivi wewe na putin nani zimo na nani hazimo ?duh yaan unasapoti ujinga wa Putin , yy ni nan wa kupangia wenzake wkt yy alikuwa anakula na hao NATO ila hatak wengine wale na NATO
There you are, be blessed.Sure, mwamba angekuwepo hii vita ya Russia na Ukraine isingefikia hapo ilipofikia. Kwanza asingetoa hata risasi moja kwa ukraine kama ingetokea
Mtoto wa Biden kafanya maovu mangapi hajachukuliwa hatua? Video zinamuonyesha anatumia cocaine lakini mpaka sasa hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa zaidi.Anatafutiwa sababu au ni ujinga wake search warrant ya FBI ilipewa baraka na mahakama
Ajabu zaidi fundi aliyepelekewa hiyo laptop kwa mara ya kwanza ilivyoharibika na kugundua hayo madudu FBI wakawa wanamsaka ili wamnyamazishe.Watu wanaogopa Trump kuchukua madaraka kwa mara nyingine.
Trump amefanyiwa kila aina ya figisu , wakati huo huo Biden na Hunter wanaendelea kula bata licha ya hao hao FBI kushikilia laptop iliyoibua maswali mengi sana
Sijajua ila hii issue inaweza ikaleta kashikashi kwa wafuasi wa Trump huko US.Nahisi hata vile vitisho vya kuuawa FBI Director na AG watampa kesi ya kupanga
Hiyo ni mitizamo tu hakuna uhakika wowoteSure, mwamba angekuwepo hii vita ya Russia na Ukraine isingefikia hapo ilipofikia. Kwanza asingetoa hata risasi moja kwa ukraine kama ingetokea
Ni kweli, kwani imekwisha kuwa proven kwenye court of law kwamba kafanya kosa ambalo ni tantamount to treason ie treasonable!!Lakini yeye hajakanusha kuwa hakuwa na nyaraka.
Mwakatrump angerudi tu Tukuyu
Wewe ni Sheikh Yahaya ?Mnakumbuka alivyo fanyiwa figisu angali bado madarakani - Watu hawajui Trump ni binadamu peace sana licha ya Wakati mwingine kutumia mane no ya ukali ukali na vitisho lakini deep down hana neno unlike Biden!!
Kama Trump angeshinda kiti cha Uraisi kwa mara nyingine tena pasingetokea vita huko Ukraine wala hasingeruhusu upelekaji wa silaha nzito nchini Ukraine.
Watu wanaogopa Trump kuchukua madaraka kwa mara nyingine.
Trump amefanyiwa kila aina ya figisu , wakati huo huo Biden na Hunter wanaendelea kula bata licha ya hao hao FBI kushikilia laptop iliyoibua maswali mengi sana
Mtoto wa Biden kafanya maovu mangapi hajachukuliwa hatua? Video zinamuonyesha anatumia cocaine lakini mpaka sasa hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa zaidi.
Issue ya Hillary Clinton na email nalo limechukuliwa hatua gani? Ni kimya tena vyombo vya usalama vya kwao vinamkingia kifua.
Haya yote hayahalalishi kumtetea kilichomkuta Trump. Bali ni misingi ya hakuna aliejuu ya sheria.
Trump ni mwiba kwao! Wanachokifanya ni kumtafutia sababu ya kutoweza kushiriki uchaguzi ujao. Na akipita hapo anachukua kiti cha urais.
Ni kweli, kwani imekwisha kuwa proven kwenye court of law kwamba kafanya kosa ambalo ni tantamount to treason ie treasonable!!
Kila mtu mwenye akili timamu anajua kwamba zoezi la FBI ni politically motivated wanataka kumuwekea Trump a monkey spanner ili hasiweze kugombee Urais kwa mara nyingine - and actually reading between the lines ni wazi the brains behind njama hii ni Biden mwenyewe - yeye na wapambe wake wana muogopa sana Trump wana wasi wasi anaweza kufukua makaburi ya kashifa za mwanae Biden vile vile na kashifa za Hillary Clinton na mumewe.
Sheria za marekani zinasema rais hata akishotoka madarakani lazima aendelee kupokea siri za kijasusi. Sasa imejuwaje hao fbi wanaanza kuhangaika na masanduku na wakati huo trump siri
Bado ataendelea kuwa nazo kichwani.
Sheria za marekani zinasema rais hata akishotoka madarakani lazima aendelee kupokea siri za kijasusi. Sasa imejuwaje hao fbi wanaanza kuhangaika na masanduku na wakati huo trump siri
Bado ataendelea kuwa nazo kichwani.
Mkuu, I don't need somo lolote kuhusu historia ya Urusi wala Continental Europe - naijua vizuri sana tangu 1917 October revolution mpaka sasa, usifikiri waleta hoja hapa ni mambumbumbu kivile - najua lengo lako unataka kuzungumzia some former Soviet Republics ambazo zilikuwa korofi zinarihusu mataifa yao yatumiwe na western Nations notably the USA ili kuihujumu Urusi, wanapenyeza majasusi,wana-recruit insurgents wa ku-distabilize Russia,wanaruhusu USA ijenge maabara hatarishi yenye lengo la kuzalisha virusi,chemical agents kwa lengo la kuhatarisha maisha ya binadamu.Wewe ni Sheikh Yahaya ?
Halafu jifunze Historia ndefu ya Russia kuvamia mataifa jirani zake.
Unafikiri hivyo vimaswali vyako F.B.I hawana majibu yake?Swali zuri sana sana, na actually ndilo swali ambalo Trump atawabana wabaya wake - as a former President ana siri nyingi sana za Taifa lake kichwani mwake,kwani nyaraka hizo zinazugumzia mambo yepi ambayo Trump hayajui - je, former Rais wa USA akiondoka madarakani anapewa time frame gani ya kuendelea kubaki na some sensitive documents kabla hujazirudisha Serikalini?
Hivi FBI wakipekua makazi ya: Obama, Bush Jr, Bill Clinton - hivi inaingia akilini kwamba watakosa hata nyaraka moja ya Serikali majumbani mwa former US Presidents - personally I don't think??