FBI wakamilisha taratibu za kuchukua misikiti minne na jengo la ofisi - Manhattan,USA

FBI wakamilisha taratibu za kuchukua misikiti minne na jengo la ofisi - Manhattan,USA

Hata kama wataichukuwa Misikiti yote ya amerika hawataweza kuizuia dini ya Kiislam, Dini itabaki hivyo hivyo Dini inakuwa ndani ya imani za watu Misikiti ndipo mahali pa kuenda kufanya ibada
9.Surat At-Tawba
32. Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize Nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia. 32

33. Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya Haki ipate kushinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia. 33

Wawakamate waliofanya makosa na waliohusika Sio kuichukuwa Misikiti, Misikiti ni mahali pa Waislam wanapofanyia ibada kuichukuwa Misikiti ni kama kuwakataza waislam wasifanye ibada zao watashindwa tu Na Mwenyeezi Mungu hawaongozi watu Madhalimu


Nakuunga mkono, lakini humohumo misikitini ndo walikamatwa wale watu wakifundishana jinsi ya kutengeneza mabom, na uongozi huohuo ulipiga kimya, kama unakumbuka lile sakata la yule jamaa alieuwawa last 2weeks.
,mpaka leo bado cjaelewa uhusiano wa ugaidi na uislam, yani kwanini waislam wamekua wakijihusisha na haya mambo ya kigaidi. hata kule bongo kama mnakumbuka mwembechai, walikua wakifundishwa karate na mbinu mbalimbali za kupigana msikitini. why is that, help pls....!
 
Hii ndio dawa ya hawa watu. Hizi nyumba zote za kufugia majini ni vema zidhibitiwe. Hata hapa Tanganyika inabidi tufanye hivyo. Ipo siku nakwambia hata sisi utasikia tumefunga ile misikiti haramu ya hapa Dar inayo instigate fujo. Ni muda muafaka tu unaosubiriwa.

Bongo hamuwezi kufanya vitu kama hivyo. Hujui Waislamu ndiyo Majority. Jaribu muone cha mtema kuni.
 
Hakuna kitu hapo..watarudisha misikiti ni kelele za muda mfupi ..wanajidanganya..the more they fight hard they more Islam grows...obama atafail kama walivyo fail wengine..."Je mtaende peponi bila kupewa mitihani kujaribiwa" hapa duniani NO..waislamu wameshateswa na kuua kwasababu tu "wanasali basi" is not a new thing and it will not be the last however, we are going to win..Allah awape subira waislamu wote wa America...tuko pamoja.
 
Hata kama wataichukuwa Misikiti yote ya amerika hawataweza kuizuia dini ya Kiislam, Dini itabaki hivyo hivyo Dini inakuwa ndani ya imani za watu Misikiti ndipo mahali pa kuenda kufanya ibada
9.Surat At-Tawba
32. Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize Nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia. 32

33. Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya Haki ipate kushinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia. 33

Wawakamate waliofanya makosa na waliohusika Sio kuichukuwa Misikiti, Misikiti ni mahali pa Waislam wanapofanyia ibada kuichukuwa Misikiti ni kama kuwakataza waislam wasifanye ibada zao watashindwa tu Na Mwenyeezi Mungu hawaongozi watu Madhalimu


MziziMkavu, hii khabri inakunyima usingizi, hili ndilo tatizo la deen ya allah! Mnachanganya deen na siasa! Huu utamaduni muufanyie hukohuko Macca na sio kwenye nchi za watu.

IRS Section 501c3 inasema The organization must not be organized or operated for the benefit of private interests, and no part of a section 501(c)(3) organization's net earnings may inure to the benefit of any private shareholder or individual interests, and no part of a section 501(c)(3) organization's net earnings may inure to the benefit of any private shareholder or individual.

Hapo Mtu kashikwa pabaya.
 
Kama misikiti inatumika kubrainwash waumini na kurecruit ma terrorist it is about time. Waangalia upya na sera yao ya kurecruit wanajeshi.


Recruitment yao si ya kulazimishana na wala si ya ki deen. Tatizo hapa ni deen inapo amua kusaidia kazi za siasa na u-terrorist. It is against the law.
 
MziziMkavu, hii khabri inakunyima usingizi, hili ndilo tatizo la deen ya allah! Mnachanganya deen na siasa! Huu utamaduni muufanyie hukohuko Macca na sio kwenye nchi za watu.

IRS Section 501c3 inasema The organization must not be organized or operated for the benefit of private interests, and no part of a section 501(c)(3) organization's net earnings may inure to the benefit of any private shareholder or individual interests, and no part of a section 501(c)(3) organization's net earnings may inure to the benefit of any private shareholder or individual.

Hapo Mtu kashikwa pabaya.
Umefurahi mwenyewe..lol wakristo bana! wakiona misikiti inanyang'anywa wanafikiri watu ndio watajiunga na kuwa wakristo kwa lazima?? lol
Mimi nisingefurahi kanisa kunyang'anywa na serikali..lakini siwashangai kama mnaweza kueneza dini kwa mabomu what do you expect??
 
Lakini jamani si kuna nchi za kiislamu ambazo hata kujengwa makanisa hawa taki?
 
Umefurahi mwenyewe..lol wakristo bana! wakiona misikiti inanyang'anywa wanafikiri watu ndio watajiunga na kuwa wakristo kwa lazima?? lol
Mimi nisingefurahi kanisa kunyang'anywa na serikali..lakini siwashangai kama mnaweza kueneza dini kwa mabomu what do you expect??

Hakuna cha kufurahisha unapo ishi na nyoka kama domestic pet.
 
Lakini jamani si kuna nchi za kiislamu ambazo hata kujengwa makanisa hawa taki?

Nini point yako? US hawawezi kukataza Misikiti isijengwe. Kuna Waislamu more than Million 15 in US; baada ya muda tu kama miaka 100 utasikia Waislamu watakuwa majority in US, North America and Europe. Kazi kwenu haters..
 
Lakini jamani si kuna nchi za kiislamu ambazo hata kujengwa makanisa hawa taki?
Lete data kaka siyo unakuja na allegations without evidence? hapa tuna evidence ya US goverment imefunga misikiti na ku-freeze its operational accounts wfk...
 
Nini point yako? US hawawezi kukataza Misikiti isijengwe. Kuna Waislamu more than Million 15 in US; baada ya muda tu kama miaka 100 utasikia Waislamu watakuwa majority in US, North America and Europe. Kazi kwenu haters..

Lakini Saudi Arabia wanaweza kukataza kujengwa kwa makanisa? Nchi zingine zina oppress wakristo hamsemi. Mna watukana Marekani lakini chaa ajabu hamuishi kukimbilia huko LOL. And the haters are....go figure.

Lete data kaka siyo unakuja na allegations without evidence? hapa tuna evidence ya US goverment imefunga misikiti na ku-freeze its operational accounts wfk...

Time Magazine and other news agencies are reporting that negotiations are underway between Saudi Arabia and the Vatican, about the possibility of opening the first Christian church in the Kingdom.
To date, Islam is the only religion permitted to be worshipped publicly in Saudi Arabia. Some argue that freedom of religion should prevail, and that Muslims should reciprocate the freedom of religion enjoyed in non-Muslim countries. Others hold that Saudi Arabia is the center of Islamic history and culture, and therefore Islam should have special status in the Kingdom.

Learn more about the issue and the latest developments. Discuss the issue with others in the Islam Forum. And don't forget to vote in the poll (to the right)!

http://islam.about.com/b/2008/03/20/churches-in-saudi-arabia.htm

Need more evidence nilete? lol
 
Hakuna cha kufurahisha unapo ishi na nyoka kama domestic pet.
Pole sana..utaumia sana..maana soon very close friend of yours and even a family member will embrace islam..kuna atakayekuwa karibu zaidi ya hao?..endelea na hates zako..utaumia sana ..keep my word ISLAM no one will stop it to grow ...
every nation, every tribe and every family will have muslim member on it..you have to live with this facts, accepts and kuheshimiana is only way lol.
 
Lakini Saudi Arabia wanaweza kukataza kujengwa kwa makanisa? Nchi zingine zina oppress wakristo hamsemi. Mna watukana Marekani lakini chaa ajabu hamuishi kukimbilia huko LOL. And the haters are....go figure.



Time Magazine and other news agencies are reporting that negotiations are underway between Saudi Arabia and the Vatican, about the possibility of opening the first Christian church in the Kingdom.
To date, Islam is the only religion permitted to be worshipped publicly in Saudi Arabia. Some argue that freedom of religion should prevail, and that Muslims should reciprocate the freedom of religion enjoyed in non-Muslim countries. Others hold that Saudi Arabia is the center of Islamic history and culture, and therefore Islam should have special status in the Kingdom.

Learn more about the issue and the latest developments. Discuss the issue with others in the Islam Forum. And don't forget to vote in the poll (to the right)!

http://islam.about.com/b/2008/03/20/churches-in-saudi-arabia.htm

Need more evidence nilete? lol
Hiyo ndiyo hofu yako kaka! nani kakwambia Mmerakani ni nchi ya wakristo pekee? dunia yote ni mwenyezi mungu wengine wamefika merakani kwa lazima (watumwa), wengine wamefika kwa biashara, wengine wameitwa kwa kazi maalum wengine wamefika kueneza dini ya Allah kwakuwa ni wajibu..so hakuna wakumzuia muislam kwenda kokote!
As for Saudia I didn't undertand your argument nendeni mkajenge huko makanisa...who cares mbona yako zanzibar makanisa makubwa waumini hakuna ndugu mpaka wakati wa uchaguzi wanapokuja askari kutoka bara hufanya ibada lol.
 
Hivi, tangu lini Ukristo ukawa sawa na Serikali/ Marekani/ Magharibi?
Inabidi muanze ku "think outside of the box" na nyie mnaotetea Uislamu unaoambatana na fujo.

Kwa nini mnafanya kama vile Wakristo ni maadui wa Uislamu? Mbona hamuwashangai Buddhists, Atheists, Scientologists etc?
 
Sasa jamaa wanaiga siasa za mwalimu Kambarage(AZIMIO LA ARUSHA) hapa nimeanza kuelewa kilio cha wananchi wa USA.
 
Nini point yako? US hawawezi kukataza Misikiti isijengwe. Kuna Waislamu more than Million 15 in US; baada ya muda tu kama miaka 100 utasikia Waislamu watakuwa majority in US, North America and Europe. Kazi kwenu haters..

Ni wapi US imesema kuwa Misikiti isijengwe? Mbona lugha inakuwa ngumu kwa Muham-madans?

Tatizo ni uhusiano wa Misikiti na siasa za uarabuni.
 
Pole sana..utaumia sana..maana soon very close friend of yours and even a family member will embrace islam..kuna atakayekuwa karibu zaidi ya hao?..endelea na hates zako..utaumia sana ..keep my word ISLAM no one will stop it to grow ...
every nation, every tribe and every family will have muslim member on it..you have to live with this facts, accepts and kuheshimiana is only way lol.

Kuna ndoto watu huwa wanaota, na zingine rafiki yako anakuotea, chagua ipi ni yako?

ISLAM IS DEAD MPAKA MACCA
 
As for Saudia I didn't undertand your argument nendeni mkajenge huko makanisa...who cares mbona yako zanzibar makanisa makubwa waumini hakuna ndugu mpaka wakati wa uchaguzi wanapokuja askari kutoka bara hufanya ibada lol.

Saudia imeshakuwa Zanzi bahari, kaazi kweli kweli. Wewe inaonekana hukujuwi Saudia,
 
every nation, every tribe and every family will have muslim member on it..you have to live with this facts, accepts and kuheshimiana is only way lol.

What about the vise versa of it? Is it not the same thing?
 
Ni wapi US imesema kuwa Misikiti isijengwe? Mbona lugha inakuwa ngumu kwa Muham-madans?

Tatizo ni uhusiano wa Misikiti na siasa za uarabuni.

Misikiti na Siasa za Middle East? Explain more..
 
Back
Top Bottom