Huyu Pastory huyu ........
Tema mate juu...mkosi huo
Suarezzzzzzzzz
upoooo everlenkSuarezzzzzzzzz
Nimetema baba .....yaani hapa nasali sala zote hilo bao lisitokeee......
Nimetema baba .....yaani hapa nasali sala zote hilo bao lisitokeee......
suarez katika ubora wake. huwa kama hayupo uwanjani vile...
upoooo everlenk
Yaani kama Leo alikuwa haonekani kabisa ukitoa ile miss katika kipindi cha kwanza, halafu jamaa lina nguvu balaa limepangua ntu nne.......
dakika ya 76 psg 0 -fcb 2