FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

wakuu nilipo muona roben katinga uwanjani nilijua tayari kapona hakuchukua hata dakika 20 katoka huyu jamaa mbaya sana saivi mechi yao iko dakika 85 1-1
 
wakuu nilipo muona roben katinga uwanjani nilijua tayari kapona hakuchukua hata dakika 20 katoka huyu jamaa mbaya sana saivi mechi yao iko dakika 85 1-1

katoka majeruhi ama?
 
ndio kaumia tena

Hivi matokeo yameishaje ya kule Bayern na Dortmund? Maana nilikuwa nacheki LFC na Hull.........halafu wewe chebi England si uko na Liver au??
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…