hii mechi ya bayern inanikosesha usingizi aleyn-Bayern karibuni sana.
hii mechi ya bayern inanikosesha usingizi aleyn
ahsante aleyn hapo ndipo ninapo ku respect fan wa kweli ni yule anaejiamini big up baba!!!:teeth::teeth::teeth::teeth:mziki huu wa Barca hawatoki waleee.
ahsante aleyn hapo ndipo ninapo ku respect fan wa kweli ni yule anaejiamini big up baba!!!:teeth::teeth::teeth::teeth:
ila yule thomas muller yule katoto kabaya sana yeye na lawondoski kila gem lazima wascore na wee unajya beki zetu pale mtu ambaye anajitahidi ni mascherano pique hua anasababisha faulu za kijinga ila kwa upande wa kushoto namuaminia jordi alba na mii naona hata si mbaya kocha akimunzisha jiremy mathieu kipindi cha kwanza yule jamaa mrefu atatusaidia kwenye mipira ya kona-Kuwepo kwa Suarez kunaiba Barca matumaini makubwa sana.
-Mbaya zaidi wanaanzia kwetu, kwahiyo mbinu tuitumiayo J4 ni kupata ushindi usiopungua 2-0 kisha kwao tukamalize mchezo.
-Messi, Suarez na Neymar hawawezi wakakosa Goli kule Munich.
-Msimu ule walituotea tukiwa na majeruhi kwa Beki pamoja na Messi ila safari hii kila Idara tuko njema.
nenda kwenye ukurasa wenu wa r.madrid ukaweke hayo mapicha humu usituwekee huu upuuzi wako sawa mkuu
Aibu tupu mkuu...
ila yule thomas muller yule katoto kabaya sana yeye na lawondoski kila gem lazima wascore na wee unajya beki zetu pale mtu ambaye anajitahidi ni mascherano pique hua anasababisha faulu za kijinga ila kwa upande wa kushoto namuaminia jordi alba na mii naona hata si mbaya kocha akimunzisha jiremy mathieu kipindi cha kwanza yule jamaa mrefu atatusaidia kwenye mipira ya kona
kwenye la liga tumebakiwa na gem 3 tu ligi kuisha katika hizo gem 1 ndio ngumu ni ya atletico madrid na mbaya zaid tuko away wao hio gem haina umuhimu sana tayari washa ingia top 4 ila wanaweza kutukamia gemu inayofata ni real sociaded na itapigwa jumamosi ijayo camp nou na baada hapo ni ya atletico ndio hiyo ngumu ila katika gem tatu zilizo bakia tukishinda 2 na tukatoa drow na atletico ubingwa wetu kwa wingi wa magoli
ila hawa atletico nao pia ni anti madridista utakumbuka ushindi wao wa mwaka jana waliupata pale camp nou baada ya sisi kuona mwelekeo wa kuchukua ubwinga haupo tena gem yetu na wao timu haikucheza kwa kiwango chake yote ni kumfagilia alibebe yeye kuliko r.madrid ilikua ni gem ya mwisho kama sikosei pale camp nou mwaka jana baada mpira kuisha mashabiki wa barca waliwapongeza kwa kuwapigia makofi kwa ajili ya ushindi wanaweza na wao hilo kuliona ila sisi barca tunaenda kuwapiga kule kule kwao hata wafanyeje na tena wana chuki na sisi manaake tuliwatoa katika nusu final ya copa del rey kwa iyo watataka watuonyeshe ila hawatokiDaaah, hii ya Atletico, Game ingepigwa Camp Nou tungekuwa na uhakika.
ila hawa atletico nao pia ni anti madridista utakumbuka ushindi wao wa mwaka jana waliupata pale camp nou baada ya sisi kuona mwelekeo wa kuchukua ubwinga haupo tena gem yetu na wao timu haikucheza kwa kiwango chake yote ni kumfagilia alibebe yeye kuliko r.madrid ilikua ni gem ya mwisho kama sikosei pale camp nou mwaka jana baada mpira kuisha mashabiki wa barca waliwapongeza kwa kuwapigia makofi kwa ajili ya ushindi wanaweza na wao hilo kuliona ila sisi barca tunaenda kuwapiga kule kule kwao hata wafanyeje na tena wana chuki na sisi manaake tuliwatoa katika nusu final ya copa del rey kwa iyo watataka watuonyeshe ila hawatoki