FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Barca yetu kuna mtu anairoga,sio bure[emoji34][emoji34]

Tatizo la barca ni uendeshaji.
Tunataka kuwa kama Madrid kwenye uendeshaji.
Tunataka kuwa klabu ya kununua na kuuza na sio kuwekeza kwenye la masia kama zamani.
 
Tatizo la barca ni uendeshaji.
Tunataka kuwa kama Madrid kwenye uendeshaji.
Tunataka kuwa klabu ya kununua na kuuza na sio kuwekeza kwenye la masia kama zamani.
kuna watu pale barca ni useless kabsa.Naamini tulikurupuka sana kumwachia Suarez. Yani dogo Fati ndo mkombozi wetu sasahivi.
#get well soon ansu
 
Naamini sana watoto wetu akina Puig,Araujo,Fati, nk nk nk,tofauti na akina dembele wanaokula mshahara bure[emoji34]

Hebu angalia treatment yao sasa pale klabuni
Barca haiwaonyeshi kama wao ni future ya klabu
Yan inawapeleka tu

Watu wanao fahamu matatizo ya ndani ya barca wamekataa kufanya kazi barca
Akina puyol na Valdez
 
Hebu angalia treatment yao sasa pale klabuni
Barca haiwaonyeshi kama wao ni future ya klabu
Yan inawapeleka tu

Watu wanao fahamu matatizo ya ndani ya barca wamekataa kufanya kazi barca
Akina puyol na Valdez
Kabsa mkuu.Yani kurugenzi yote ya barca inaona madogo kama bado kumbe ndo future ta barca yetu.
Suluhisho jingine tungepata kocha anayeijua vema barca.yani kocha zaidi ya Renald Koman. (Player wa palepale)
#Nampendekeza sana yule aliyeifundisha barca 2014-2015-luis Enrique. Yule jamaa aliondoka akiwa bado mtam
 
kuna watu pale barca ni useless kabsa.Naamini tulikurupuka sana kumwachia Suarez. Yani dogo Fati ndo mkombozi wetu sasahivi.
#get well soon ansu
kabisa kabisa yaan nilishangaa eti suarez hatakiwi barca kituko cha mwaka kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…