TumekufaWatani mpo?
Kwaiyo huu msiba tunazika au tunasafirisha?[emoji4]Tumekufa
Tupo tunaangalia mali na madeni ya marehemu kwanza.Kwaiyo huu msiba tunazika au tunasafirisha?[emoji4]
Tupo bize na korona ..[emoji3][emoji3][emoji3] huu uzi nowadays umetelekezwa sana
TuliaNyie wahuni jana mmeshinda mbona hamuji humu kutamba
Watambe wakati Atletico Madrid anawatimulia vumbi tuNyie wahuni jana mmeshinda mbona hamuji humu kutamba