FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

kocha amtoe andriano amuingize alba na xiavi atoke aiingie mtumzima iniesta la si hivyo hawa jamaa watatukosesha ubingwa

hahahah... akiingia tu alba anajifunga tena... ukitaka tu hizo sub zako gharika kuu linawakuta.
 
Suarez atakuwa kamili next season,umesahau Neymar season ya kwanza tulikuwa hatumuelewi

Sio kuwa namlaumu ila anakosa nafasi za wazi kabisa...

Angalia kama ule mpira wa kichwa, kaishia kutoa pasi wakati alikuwa anaweza kufunga...
 
Sio kuwa namlaumu ila anakosa nafasi za wazi kabisa...

Angalia kama ule mpira wa kichwa, kaishia kutoa pasi wakati alikuwa anaweza kufunga...
Hajaweza kujiamini bado,maana lile lilikuwa goal angelenga goal
 
Acheni kumsema suarez kwan messi hajawahi kukosa magoli
 
Rafinha is not Barca quality. Hii tunajipa ugumu sisi wenyewe. Rafinha na Xavi wote ni passers, hawatakiwi kucheza pamoja.
 
Hii sub ya Busquet sasa itaweka game sawa. Tutakuwa na flow nzuri ya mchezo ingawaje Xavi yuko slow.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…