Bado mengine
Ivan Rakitic
asante mkuu kwa mapicha
Pamoja mkuu, hadi ndoo irudi camp nou
Kama kawa mkuu tupo pamoja kwa update zako za mapicha
Kawa kawa
sio wanajitahd sema mnajitahid
Kumbe hujanielewa bado eeeh.....
sijaona kama kafanya ubinafsi.neimary punguza ubunifisi we want kill the game
sijaona kama kafanya ubinafsi.
aisee kweli leo kimegoma.Ahahaha Kiuno kimegomea leo
Dah! Messii