ha ha ha ha ha ha ha ha ha kwabl kuwa umejileta mwenyewe nimekusamehe ila siku nyingine usiwekeane ubishi na barcaNipo apa ..sasa unanipeleka lini kwa arsenal?
Ndo ivyo nitafanyaje tena ujanja mfukoni
goli la.mwisho alikuwa anatafutwa yeye ila alikuwa mbali
ha ha ha ha ha ha ha ha ha kwabl kuwa umejileta mwenyewe nimekusamehe ila siku nyingine usiwekeane ubishi na barca
pamoja mkuu karibu kwenye ulimwengu wa barcelona
Hongera mamy mchepuko wako yuko vizuri..
Wangu ndo ivyo tena adi kulia kalia
ha ha ha ha habha ha ha ha ha ha ha ha ha haBora ata sasa yule mwenzako sijui atanisamehe sijui ndo pu.mb inanihusuuu....
Usijali sweet hujapoteza kitu utakula mema ya nchi kupitia wangu.....lol
goli la suarez ni baada ya kipa kutoa mchomo wake, kafanya kazi nzuri. hivi top scorer wanaangalia uwiano wa magoli na idadi ya mechi? maana messi, neymar nsa cr7 wote wana 10.masikini mtu wangu messi haja score
Huyu Pique ana vituko sana huwa anapeleka wapi hizi nyavu?
Kuna mdau kwenye uzi wa Juve anadai leo Blatter hayupo kwenye tuzo za kutoa kombe hili je ni kweli wadau. Mbona kama nimemuona?
Kuna tukio naona Gerald Pique anakata nyavu za golini kwa mkasi.muda huu sijaelewa kwa nini!
Nipo apa ..sasa unanipeleka lini kwa arsenal?
Ndo ivyo nitafanyaje tena ujanja mfukoni
goli la suarez ni baada ya kipa kutoa mchomo wake, kafanya kazi nzuri. hivi top scorer wanaangalia uwiano wa magoli na idadi ya mechi? maana messi, neymar nsa cr7 wote wana 10.
Xavi hongera sana naona mama ameshashiba ulivyomlisha........