FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

huyu dogo ndio atakuja kuchukua nafasi ya messi anaitwa hilalovic
 
hivi Barcelona mna La Liga ngapi?
na je mna champions League ngapi?

hebu mfunge midomo basi lol

barcelona tuna la liga 23 na uefa 5 vp wewe mwenye seria a 17 uliyezidiwa had na inter huyo juve ndio usiseme maana yy ana 30
 
barcelona tuna la liga 23 na uefa 5 vp wewe mwenye seria a 17 uliyezidiwa had na inter huyo juve ndio usiseme maana yy ana 30

Ulikuwa wapi jamani?? Safi sana hayo si ndio maneno.
 
Ulikuwa wapi jamani?? Safi sana hayo si ndio maneno.

niko mamaa huyo Gang Chomba hana jipya mimi namshangaa anavyotapatapa wakat timu yake imenusurika kushuka daraja
 
Last edited by a moderator:
Sasa ndio stress zake anamalizia kwangu!!

ha ha ha ha ha ha ha ha ha si unajua hiko.kbabu enz za ujana wake kilikulia jela sasa karud mv tyar hvo ana hasira na warembo hvo mzoee
 
ha ha ha ha ha ha ha ha ha si unajua hiko.kbabu enz za ujana wake kilikulia jela sasa karud mv tyar hvo ana hasira na warembo hvo mzoee

Oooooh!! Basi now nitakuwa nampuuza tu
 
Casilas vs Xavi goodbyes, kweli Madrid wasahaulifu sana. Barca itabaki kua timu inayopendwa hata na wachezaji wa timu pinzani.
 
Sasa ndio stress zake anamalizia kwangu!!

Atoto kila nikikukonyeza huoni..................

Aya kaa Na MSN yako hiyo.......
 

Attachments

  • 1436874155130.jpg
    22.2 KB · Views: 50
Atoto kila nikikukonyeza huoni..................

Aya kaa Na MSN yako hiyo.......

Jamani Ntuzu acha dhambi, ndio nini kunifanyia messi wangu hivyo!! Nitakununia!
 
Last edited by a moderator:
Jamani Ntuzu acha dhambi, ndio nini kunifanyia messi wangu hivyo!! Nitakununia!
hana jipya huyo timu yake chelsea na tushaipiga 5 mara 2 mara ya kwanza 26/05/1966 hapo tuliipiga 5-0 na mwaka 2000 tukaipiga 5-1 na bado siku 10.tuipige tena 5 huko marekani. SISI NDIO BARCA KOMESHA YA CLUB ZOOOOTE DUNIANI
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1436875730148.jpg
    8.3 KB · Views: 32
Last edited by a moderator:
hana jipya huyo timu yake chelsea na tushaipiga 5 mara 2 mara ya kwanza 26/05/1966 hapo tuliipiga 5-0 na mwaka 2000 tukaipiga 5-1 na bado siku 10.tuipige tena 5 huko marekani. SISI NDIO BARCA KOMESHA YA CLUB ZOOOOTE DUNIANI


Weweeeeeeee..........


#KTBFFH
 

Attachments

  • 1436875921939.jpg
    116.7 KB · Views: 38
La liga el clasico itafanyika tarehe 8 november pia ikumbukwe mara ya mwisho timu hiz kukutana barcelona iliondoka na ushindi wa goli 2-1 pia ushindi mkubwa kwa timu hizi ni 16-0 mwaka 1926 ambapo barca alimgalagaza madrid kama mtoto mdogo ingawaje ilikuwa friend game
 

Nakucheki tu
 

Attachments

  • 1436876864806.jpg
    23.6 KB · Views: 35
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…