Mtani nasikia mnabebwa kweli nasikia messiah kakosa penati
Visca el Barca
Duhhh!!! Sorry kwa Picha ya mwisho ......nimemix mambo natumia simu natoa imegoma...samahani wana Barca
maneno yenu tumeshayazoea endeleeni tuu kujifariji
Sikuhizi sijui mmekuwaje mmelisusa jukwaa pendwa......
Lol.... Visca el Barca (in everlenk voice)
Najua kwanini umemuweka yeye teeeehe teeeehe.
Nimeona msamaha wako ila sijataka linipite hivihivi
nipo ila pnc katufungulia group imekua shheedah watu wanakesha huko inakua taabu
nipo ila pnc katufungulia group imekua shheedah watu wanakesha huko inakua taabu