Hahaha mwite PNC 1 labda
ha ha ha ha ha ha ha hapa hatushindani kujaza page hapa tunashindania makombe
ha ha ha ha haaaa ha ha ha everlenk ni kwa muda tu maana sitak kukuamin saaana hutabiriki wewe
Hahahaha bosi umetugeuka tena?
nafas zimejaa bakini huko huko MWANITESA UNITED
Hahahaha bosi umetugeuka tena?
Hahahaaaaa! Na kweli ni "mwanitesa fc" huoni ndio maana huwa wanakuja kujifariji huku.
Tuko ndo tunatoka Saint Mary plz give us 10 min tutakuwa hapo Camp Nou....
Oooh kumbe!! I wish them luck