FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hivi jamani mwanakijiji chama gani? kwenye nba playoff hayumo,motorGP hayumo,simba na yanga hayumo,EPL hayumo..huku hayumo......
 
Mzee inasemekana ulikuwa umezama maeneo kwa dakika zote 90 za mchezo!
tehe teeh shem wee acha ulisahwahi kuona mtu unashangilia kimoyo moyo? ila lile goli la messi nilirusha ngumi hewani......kujifanya nimechukia.....
 
Hivi jamani mwanakijiji chama gani? kwenye nba playoff hayumo,motorGP hayumo,simba na yanga hayumo,EPL hayumo..huku hayumo......

Twittering na chechering( Cheche)..Umesahau?!..ha ha
 
Hivi jamani mwanakijiji chama gani? kwenye nba playoff hayumo,motorGP hayumo,simba na yanga hayumo,EPL hayumo..huku hayumo......

...hata enzi za kina Razak Yussuf Careca -Coastal Union au African Sports za Tanga hayumo? 🙂
 
Ilikuwa ni battle of brilliance, kati ya Lionel Messi na Christiano Ronaldo. Ni kwamba Lionel Messi is just a genius.

Messi ni mdogo kwa umbo lakini aliweza kuupata mpira wa cross ya Xavi na kugonga kwa kichwa kufunga the killer goal na hii ndio ilikuwa ni "magical moment".

In this final there can be only one winner nao ni Barcelona.
 
Barcelona are crowned new champions after nailing the red devils 2-0. Goal getter were Samuel Eto'o and Lionel Messi.it is time to evaluate what we predicted earlier before the match.
 
Last edited:
Mechi imeisha MAN UNITED wamelowaaaaaaaaaaaaaa chepechepe!
 
Man U ikifungwa Yo Yo atanyimwa unyumba kwa siku kadhaa.
tehe tehe tehe yaani leo nimecheka sana siajwahi kuangalia mechi katika wakati mgumu kama leo......nani aliwahi kwenda jukwaa la yanga na yeye simba alafu simba ikafunga?
 
...ohoooooo, yale yale kama mzee masa,....
Mpwa, tafadhali muangalie BJ bana,...anahuzunika sana masikini.

Hahhahaha sawa mpwa nimekusikia nitamtunza hadi kihoro kimwishe hahahahaha
 
Ahsante mkuu, pressure inapanda pressure inashuka....unajua leo ndio mwisho wa kutumia hili jina vile vile.. Tukishinda najiita Alex Ferguson lol.

May the best team win [Glory Glory Man United]

...afadhali mmefungwa, pheeeeeeeeeeeeeeeeeeeewww!!!

...usibadilishe jina, Icadon ni snonym ya security agency fulani bana!
 
Tuache utani man u mlifikiria mtachukua kombe leo?
 
Ni mechi ilichezwa vizuri na ilikuwa ni ya kuvutia.

Ni watu watatu, Iniesta, Xavi na Lionel Messi ndio wamefanikisha ushindi kwa Barcelona.
 
Messi ni mdogo kwa umbo lakini aliweza kuupata mpira wa cross ya Xavi na kugonga kwa kichwa kufunga the killer goal na hii ndio ilikuwa ni "magical moment".


Killer blow:
Lionel Messi wheels away after scoring Barcelona's second goal
 
Mbu!

Mambo yamekuwa si mambo kwa Man Utd leo, imekuwa kuchezewa tu.

I'm happy for Barca,ushindi mnono wamepata..

Atleast final tumeiona kama last year na bado wanang'ara!!

...wee ngoja shadow aje hapa akumalizie dozi alizowaanzishia! 🙂
 
Wakuu,

Barcelona walikuwa wakitawala mchezo kwa kumiliki mpira wakicheza watakavyo na kuwaambia Man U kwamba waende wauchukue mpira. Si Rooney, Ronaldo, Carrick wala Vidic waliweza kuwanyan'ganya mpira Messi, Xavi na Iniesta.

Hio nafikiri ndio ilikuwa ni lesson ya leo kutoka kwa kocha mdogo wa Barcelona Pep Guardiola( ana miaka 38).

European football siku zote unatakiwa uwe unamiliki mpira, kuucheza na ukipata nafasi unafunga.
 
Mechi nzuri. Ila Alex Ferguson naona leo ideas zilimuishia. Sikumuelewa kwa nini alichezesha strickers wanne (Rooney, Ronaldo, Tevez na Babatov) na kuua mildfield (kuwatoa Anderson, Giggs na Park).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…