Hizo kaiba....au ni za mjini kati pale kwa wale watu wa kabila flan hivi....wapika kahawa hawana akili
Magic or From another planet
Asante ha ha ha
Ha ha ha ha ha ha ha sawa tumewezekana na lumumba
Which is pluto
Ha ha ha ha ha et Pluto ni Mars
Kani add sasa no muda was kuachana na siasa...ni add..
Duuuuuuh kumbe ulileft ndio sababu Wanasumbua sana nani nilikuwa busy na uchaguz sikuona ulivyoleft
Atambee....
Nina mama wiki tatu....
Ila Messi anatisha saaaaana HV mlivyotolewa huyo depay na martial hawakuwepo?
Hahahaaaaaa hawakupiga penat.....
Duuuuuuuh kwa hiyo Leo kazi yao imekuwa ni kupiga penat
Hapana... mpaka dkk ya 120 hatukufungana hivyo tukacheza penat...
Duuuuh mlicheza na timu gani
Barcelona....
Woooyooooooooooooo cc Gang Chomba