uwezekano wa kuwepo ni mkubwa sana. inabidi tuwatandike, tuwaache point sita tuwe na amani.Wakuu, hivi Messi atakuwepo kwenye El Classico au lah!?
uzuri wa neyma naye huwa anatafuta mpira na kupangua madifenda. hasubiri kulishwa.You are damn right. Gazette la El Mundo,limemshauri Benetez ai flood midfield ya R Madrid na wachezaji kibao siku ya el classico kuzuia mipira isimfikie Neymar na Suarez anything else itakuwa majanga
Nilitazama game la club bingwa Afrika-team ya Mazembe ilichukua cup,swali langu ni je hawa Mazembe wakipambanishwa na lets say Sunderland ya England in a two legged encounter home and away nani ataibuka mshindi????Wakuu, hivi Messi atakuwepo kwenye El Classico au lah!?
King Messsi
Benitez katangaza Ramos na Benzema kuanza kesho, sijajua kwa upande wetu Messi.nacheki mechi ya harmburger na dortmund kama dessert, msosi kamili kesho.