Everlenk hivi awa Barca wakicheza na vijana wa LVG na speed hii itakuwaje na beki ya Damian NA Blind
timu imeshinda harafu inapigwa counter dk ya 85! hivi barca hawajuagi muda wa kupaki basi? ulafi wa magoli leo umetuponza.
Visca el Barcatumepoteza magoli mingi sana leo beki ni tatizo sugu kwetu counta attack mchezaji mmoja anawapiga chenga pique na alba imeniuma lazima tatizo la beki lipatiwe mbadala labda ikifika january ban itakua imeisha coach atafute mbadala wa pique la si hivyo tukikutana na timu sumbufu basi watatupa shida sana tumeona leo valencia jinsi walivyocheza wamecheza kama style za mourihno kupaki bus na kufanya counter attack wakati zile dakika za 80 ilibidi timu isifanye mashambulizi kwa wingi alau ni kuumiliki mpira tu na kupoteza mda ingawa hiyo sio style ya barca ila ikibidi lazima ifanyike
lakini yote kabisa ndio mpira tupo juu kwa point 34 akifata atletico 32 madrid 30 na kizuri zaidi timu ambazo zinasumbua kama atletico, sevila , celta vigo, bilbao na madrid zote tumesha cheza nazo away zimebaki gem za home ambazo zote ni camp nou pale camp nou hua hatufanyi makosa visca barca visca catalunya
Hahahaha mpira hautabiriki aiseee!!!! Tunaweza kuwakalisha mpka ukashangaaa
bora ya wewe, epl huwa naipenda Chelsea!! jana haikuwa siku ya furaha kabisa. nilifurahi tu bayern kufungwa na dortmund kushinda.Valencia waliporudisha na Tv nilizima ,jana mchepuko umeniudhi sana matatizo Yale Yale kama big house....lol
mastalla, uwanjaa wa Valencia ni moja viwanja vinatisha sana kuchezea. kuta zimeinuka utasemaa mashabiki wanaikuangukia.
kama mvua ni chache kuezeka siyo lazima sana hata nou camp haujaezekwa.Vp mbona haujaezekwa? Kumbe unazidiwa na uwanja wetu wa Taifa🙁
Goli la Suarez lilikuwa CLEAR OFFSIDE. Mnaitwa Fifalona for reasons.
Ni kweli hata yale manne ya elclassico yalikua off side sita za roma goli zote off side final na juve goli zote off side
hatuwezi kuwajibika kwa makosa ya waamuzi. tunachojua ni kwamba tulipiga kandanda safi naa timu yetu ni no1 duniani. haters mnatakiwa kujifunza kukubbali hilo.Talking about a game. Jana mmebebwa. Mbeleko ya wazi wazi Barca fans should learn to accept the truth
Talking about a game. Jana mmebebwa. Mbeleko ya wazi wazi Barca fans should learn to accept the truth
Goli la Suarez lilikuwa CLEAR OFFSIDE. Mnaitwa Fifalona for reasons.
Ni kweli hata yale manne ya elclassico yalikua off side sita za roma goli zote off side final na juve goli zote off side