mii ndio kwanza naingia hapa naona matokeo najiuliza naota manake leo sikua na mda wa kuangalia hii gem daah siamini kabisa macho yangu hawa jamaa hii ni gem ya pili tunatoa nao draw mkikumbuka season iliyopita last gem ilikua na hawa deportivo dakika za mwisho tukatoka nao draw lakini ilikua tayari tilisha kua na uhakika wa kombe media zikasema barca wameuza gem hawa jamaa laitani tungaliwapiga siku hiyo basi wangalishuka daraja leo tena tumeona wamekuja kugawana point ndani ya dimba la camp nou daah isee inauma nilipoona goli la messi free kick nilisha furahi lakini kuja kuona jamaa wamerejesha nimenyon'gonyea inauma inauma