FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

wee jama umepotea huku hebu nenda kwenye jukwaa lako kule la udaku huku naona unatutia kichefu chefu tu huna cha kuongea unaongea pumba tu
Haaaa hadi leo umoo!!
Sawa shabiki wa
Leofail missy

Alaf uwa ana kwepa kodi yule mwambie alipe
Jina jingne aitwa Taxessi
 
TE="Szczesny, post: 16215662, member: 363176"]Haaaa hadi leo umoo!!
Sawa shabiki wa
Leofail missy

Alaf uwa ana kwepa kodi yule mwambie alipe
Jina jingne aitwa Taxessi[/QUOTE]
Acha ushamba wewe umejiunga lini JF??
 
TE="Szczesny, post: 16215662, member: 363176"]Haaaa hadi leo umoo!!
Sawa shabiki wa
Leofail missy

Alaf uwa ana kwepa kodi yule mwambie alipe
Jina jingne aitwa Taxessi
Acha ushamba wewe umejiunga lini JF??[/QUOTE]
We ulijunga zaman hadi ku reply unashndwa

Washabiki wa refalona bhana
 
Acha ushamba wewe umejiunga lini JF??
We ulijunga zaman hadi ku reply unashndwa
Washabiki wa refalona bhana[/QUOTE]


refalona ndio maana tumechukua makombe 5 kwa msimu mmoja sasa wee tatizo lako liko wapi nenda kwenye jukwaa lako la manyau united usituletee pumba zako huku
 
We ulijunga zaman hadi ku reply unashndwa
Washabiki wa refalona bhana


refalona ndio maana tumechukua makombe 5 kwa msimu mmoja sasa wee tatizo lako liko wapi nenda kwenye jukwaa lako la manyau united usituletee pumba zako huku[/QUOTE]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Manyau united, thats funny
 
We ulijunga zaman hadi ku reply unashndwa
Washabiki wa refalona bhana


refalona ndio maana tumechukua makombe 5 kwa msimu mmoja sasa wee tatizo lako liko wapi nenda kwenye jukwaa lako la manyau united usituletee pumba zako huku[/QUOTE]
Penalt hata 30 zba fika
Magoli ya ofside hata 20 yana fika
Red kad 19

Hatareee hyoo
 
We ndo koro

#Koroyasin21[/QUOTE]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Szczesny acha kusumbua
Kwani Barcelona walikukosea nini
 
We ndo koro

#Koroyasin21
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Szczesny acha kusumbua
Kwani Barcelona walikukosea nini[/QUOTE]
Teh teh! bro mi nlikuja kuwasilimia tuu ki ujiran mwema ila nkaona watu wana panic

Ki ubinadam i have to fight back ndo tukafika uko
 
Reactions: PNC
Kuna mambo yanakera halafu yanafanywa na washamba wenye majina ya ki arsenal hivi.
 
Reactions: PNC
refalona ndio maana tumechukua makombe 5 kwa msimu mmoja sasa wee tatizo lako liko wapi nenda kwenye jukwaa lako la manyau united usituletee pumba zako huku
Penalt hata 30 zba fika
Magoli ya ofside hata 20 yana fika
Red kad 19
Hatareee hyoo[/QUOTE]

wee jamaa hata hujulikani uko kundi gani umekua kichozi unajichanganya katika kundi la ninga utachanika mabawa
hayo matimu yenu manyau uu yamepoteza dira sasa hamna cha kuongea manaisakama barca mnajipa ugonjwa wa moyo bure barca itaendeleza vichapo kwenye timu zenu mkisha shindwa njoni na fact zisizo na mantiki yoyote
 
pnc huyu jamaa ilikua sijamuangalia vizuri kumbe kajiunga juzi humu jamiiforum sasa anataka aonekane na yee kumbe anachangia aaaah ok bhana njoo na utumbo wako mwengine #Szczesny
 
pnc huyu jamaa ilikua sijamuangalia vizuri kumbe kajiunga juzi humu jamiiforum sasa anataka aonekane na yee kumbe anachangia aaaah ok bhana njoo na utumbo wako mwengine #Szczesny
Ckuongea utumbo ila mlitaka nije kuwpamba barca hyo c kaz yangu
Nme toa data jibu kwa data
Jf watu wataendelea kujiunga na wanakuja na charactrs mpya jitahid uzoee
 
Reactions: PNC
Ckuongea utumbo ila mlitaka nije kuwpamba barca hyo c kaz yangu
Nme toa data jibu kwa data
Jf watu wataendelea kujiunga na wanakuja na charactrs mpya jitahid uzoee
umekuja kufanyaje huku Rudi jukwaani kwako
 
umekuja kufanyaje huku Rudi jukwaani kwako
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Nlikuwa nakutafuta mkuu, nakipita apa niwasalim kdogo
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…