Kwa maana hyo Bale na Greezman ni bora kuliko KINGUbora wa mchezaji sio kufunga magoli/kutoa assist.Canavaro alikuwa mchezaji bora na hakufunga goli wala kutoa assist
Kwa maana hyo Bale na Greezman ni bora kuliko KING
Wewe si mpenzi wa mpira...
Wewe ni MPENZI wa Barcelona..!
oooh karibu sana mkuu kwenye familia ya Catalonia[emoji4] [emoji4]
Kwani kuwa mpenz wa Barcelona vibaya?Wewe si mpenzi wa mpira...
Wewe ni MPENZI wa Barcelona..!
Ati mazes mazima yanakanyagwa 4 nill......huenda ni bahati mbaya....ila Liverpool Leo waliupiga wa kutosha....MAZEEE MAZIMA YENYE NDEVU ZA MWENDOKASI yanakanYAGWA 4 NILL na vijana waDOOOOGOOOO akina ORIGI???
Kwani kuwa mpenz wa Barcelona vibaya?
Hakuna shabiki wa SOKA duniani anayeweza kuwaita LEICESTER CITY mabingwa UCHWARA..!Kwani wewe mpenzi wa nini?
EPL hata Yanga anaweza akabeba kombe baada ya misimu miwili, EPL timu zote zinafanana viwango, kwa kifupi hamna timu ambazo zinatisha kwelikweli kwa kulinganisha na Barca, PSG, Madrid, Bayern, Atletico n.kHakuna shabiki wa SOKA duniani anayeweza kuwaita LEICESTER CITY mabingwa UCHWARA..!
Over!!!!
Hata YANGA anaweza akabeba KOMBE..!!!?EPL hata Yanga anaweza akabeba kombe baada ya misimu miwili, EPL timu zote zinafanana viwango, kwa kifupi hamna timu ambazo zinatisha kwelikweli kwa kulinganisha na Barca, PSG, Madrid, Bayern, Atletico n.k
Karibu tena!Hata YANGA anaweza akabeba KOMBE..!!!?
Basi Sawa..!!!
Nashukuru kwa kunifahamisha...
WelcomeMessi reaction after the game.
"I never concentrated l was listening to you will never walk alone Luis always talk about it. We were humiliated today but l see this Liverpool team raping Manchester teams and Chelsea. It's not a secret that l like Liverpool and l might consider my future next season," he told ESPN.
#YNWA
Kwa msimu uliopita YES
Kwani CR7 ni bora kuliko Messi ?
MAZEEE MAZIMA YENYE NDEVU ZA MWENDOKASI yanakanYAGWA 4 NILL na vijana waDOOOOGOOOO akina ORIGI???
Messi reaction after the game.
"I never concentrated l was listening to you will never walk alone Luis always talk about it. We were humiliated today but l see this Liverpool team raping Manchester teams and Chelsea. It's not a secret that l like Liverpool and l might consider my future next season," he told ESPN.
#YNWA
Griezman hakua bora kuliko mess tuache chuki. Sema tu Griezman kwa level yake alijitahidi ila usiseme zaidi ya messi. Messi alichukua vikombe viwili Griezman hakugusa kitu. Messi ana assist na magol mengi kuliko griezman pamoja na kua messi hakucheza kwa miezi kama miwili msimu uliopita. Kama kufika final ya euro basi hata messi alifika final ya copa America. Tatizo watu tunamweka messi kwenye standard ya juu kuliko Mchezaji yoyote dunia ndo mana unaona kama messi hakuwa katika ubora. kuna msimu mmoja Ronaldo alichukua balloon dor akiwa ana la liga tu ila messi leo hii mwenye laliga, copa del rey na final ya copa America anaonekana hafai hata kua kwenye tatu bora. Mimi naamini ingekua ronaldo amepata mafanikio alioyapata messi msimu uliopita lazima angekuepo top 3 na hata ballon dor angechukua ila kwa messi vitu kama hivi ni kawaida tu sio ajabu. So kwangu Griezman kuwepo hapo ni sawa coz alijitahidi kwa level yake ila haimaanishi alikua bora kuliko messi. Na ronaldo anastahili tuzo kwasababu ya mafanikio alioyapata ila kiwango chake msimu uliopita kilishuka sana. Bale sina coment maana sielewi kafikaje top 3.