mtu yoyote anayeishi Catalonia be it female,male,or anyone over 15 years old anaujua mpira inside out. Here people breath,sleep,work think football and independence nothing else mattersI admire your wide knowledge and accurate views about Barcelona's soccer flow.
I'm curious..are you ke or me?
nafikiri ndiyla muhimu mkuu tusipate majeruhi sababu jumatano tunaingia mzigoni tena
nahisi jumatano tutakuwa wa moto sana maana mashine nyingi zilikuwa zinapoa benchi na pia siku za karibuni tunafanya poa sana ugenini.Mkuu ucwaze sana zama youtube angalia magoli halafu tukutane jumatano UJERUMANI
moto wa jumatano utakuwa ni balaa ila cjajua kama Umtiti atakuwa karudinafikiri ndiy
nahisi jumatano tutakuwa wa moto sana maana mashine nyingi zilikuwa zinapoa benchi na pia siku za karibuni tunafanya poa sana ugenini.
tupo mkuu. Sergio Roberto machine kubwa sana. najua kipindi cha pili baada ya mawaidha watapunguza kupoteza pasi na kuongeza spidi.
BlackPanther Jaqline Cossovoman Monasha Good96 Ibrah404 Aleyn Chebi Red Giant otterhound mpo wapi BARCELONA TUNACHINJA HUKU
ni kweli mechi imepooza haikuwa na shamrashamra kama tulivyozoea hata ushindi wa 5:0 haujawa habar ya dunia kama anavyokuwepogi MESSI ila nafikir inabd tuzoee kwani itafika wakat KING hatokuwepo BARCA japo itakuwa ni siku mbaya ila tutakuwa hatuna budiTupo mkuu, mechi ya leo umeionaje lakini without messi? kidogo imepoza, also we did not play well enough, si-unajua tena King akikosekana mchezo kidogo unachenj, hata zile ticktaka hazionekani kabsaa.... anyway congrats kwa 3 points and 5 gols safi sana,
ni kweli mechi imepooza haikuwa na shamrashamra kama tulivyozoea hata ushindi wa 5:0 haujawa habar ya dunia kama anavyokuwepogi MESSI ila nafikir inabd tuzoee kwani itafika wakat KING hatokuwepo BARCA japo itakuwa ni siku mbaya ila tutakuwa hatuna budi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ila ni kweli yani had raha😀😀 tena wanagonga zaidi yetu
msimu uliopita walitupigia sana mpira home kwao. hawaogopi kitu, wapo kama nyegere.Hawa Las wanagonga kama Barcelona
msimu uliopita walitupigia sana mpira home kwao. hawaogopi kitu, wapo kama nyegere.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ila ni kweli yani had raha
kuna kamnyama fulani kakauzu, kiingereza wanakaita honey badger.😀😀 ndio nini mkuu? Au ulita ku-say ngedele
sawa mkuu ila LAS PALMA wametutoa kimasomasoMkuu PNC 1 nipo ila sijaona hii game bhana nilikua na shughuli kidogo.