ataingia kwenye mechi na man city ILA KESHO TUTACHEZA BAADA YA HAPO NI MECHI ZA KIMATAIFA KWA WIKI MBILIMkuu Profesa anaingia lini?
WADAU MNAMUONAJE HUYU DOGO NAFIKIRI BARCA WAFANYE HARAKA WAMPELEKE LA MASIA Dogo ni wa Anderlecht youth team huko Belgium kwa Samatta HAKIKA BARCA WASIPOTEZE MUDA WAMUWAHI MAPEMA IKIWEZEKANA ZILE M80 tulizotaka kumpa pogba tukampe huyu dogo
Mkuu nimeona reaction yako sehemu ukifurahia mnyama[emoji23] [emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Mpira wa kibongo shida sana mkuu wengine tumebet mke[emoji3] [emoji3] halaf refa anazingua yani goli la wazi anasema offside lile la mkono anasema ndilo sahihi[emoji13] [emoji13]Mkuu nimeona reaction yako sehemu ukifurahia mnyama[emoji23] [emoji23]
Ni kweli mkuu nyota njema huonekana asubuhiAnafaa kwakweli, Barca wafanye uamuZi wa haraka bila kuchelewa...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] sijawai angalia mechi ya mnyama toka 2010 sasa leo nimejitahd sikujua kama mpira wa bongo uko hivi ila hata hvyo kichwa kinauma yani mda wote mpira juu wakat nishazoea mpira chini WAZEE WA TIKTAK😀😀Kumbe tuna shabiki wa mnyama humu ee
ataingia kwenye mechi na man city ILA KESHO TUTACHEZA BAADA YA HAPO NI MECHI ZA KIMATAIFA KWA WIKI MBILI
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] sijawai angalia mechi ya mnyama toka 2010 sasa leo nimejitahd sikujua kama mpira wa bongo uko hivi ila hata hvyo kichwa kinauma yani mda wote mpira juu wakat nishazoea mpira chini WAZEE WA TIKTAK
Swadaktaaaaa mkuuHapo patamu aise... Akiwemo profesa napata full amani,nakaa nakunja Nne na ki-pepsi left-side huku napiga kuku kwa mrija acha weee😀😀😀
nikweli mkuu yani inakuwa kama EPL ukimbahatisha unaombea mpira uishePole sana, especially mpira wa ivo unaumisha kichwa tu,hata time zenyewe unaona kama haziendi,unatamani mpira uishe haraka..
Watching Man city game-City muziki wa Barca hawauwezi-defence yao ni shambles-MSN will have a field dayataingia kwenye mechi na man city ILA KESHO TUTACHEZA BAADA YA HAPO NI MECHI ZA KIMATAIFA KWA WIKI MBILI
Hawa ndugu zetu naona standard ya soccer kiwango kime plummetndugu yetu katika soka kadraw. baadaye tusilembe wandugu.
na kweli huku si kushuka ni kuporomoka. hadi huruma.Hawa ndugu zetu naona standard ya soccer kiwango kime plummet
.... Atanyosha mikono juu hata kama alikuwa shujaa!Hii inaitwa Adui muombee njaa