Hivi kweli China kuna football fever na viwanjani wanakwenda kuangalia mpira? mark my words the bubble will bustWachina wanapata pesa kupitia pay per view
wana wananchi bilioni 1.3
wenye uwezo wa kulipia tv japo milioni 600
imaggine watu milioni 600 ukiwa charge hata dola 50 kwa mwezi utashindwa nni?
ni mfano tu
Hivi kweli China kuna football fever na viwanjani wanakwenda kuangalia mpira? mark my words the bubble will bust
jamaa wanahali ngumu. Ssuarez anatafuta hattrick.Gooooooooooooooool
Barcelona 4 Las Palmas 0
Arda Turaaaaaan
Wamemtoa hivo hawezi pata[emoji15]jamaa wanahali ngumu. Ssuarez anatafuta hattrick.
Barcelona leo ni sherehe [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]QUOTE]
Barcelona leo ni sherehe [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
umemuona mpendwa wetu🙂Wamemtoa hivo hawezi pata[emoji15]
nimemuona mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]umemuona mpendwa wetu🙂
mechi ya kesho ni moja ya zilizoshika mustakabali wetu. ngoja niwacheki waafrika nao.So far so good-odds kwa bookies zinalenga kwenye upset kesho-tunasubiri
natamani Roberto angekuwa anapiga kama midfielder tu.Kwa kweli leo kulikuwa na harufu ya ile Barca yetu.
Sergio Roberto kusema kweli huwa siyo mzuri kwa ile position anayochezeshwa. Vidal leo kaitendea haki.
Bosquet naye leo kaonyesha umahiri wake tulioumiss kwa muda.