FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Officially copa de ley ni la kwetu hawa jamaa ni uchochoro sana first half walicheza vizuri sasa hv wamezingua sana !!Goaaal la 6 suarez
 
Nafkr team kwa sasa n ngum kuanza kupoteza game kizembe... We are now organized well and effectively...
Barca is now on the home straight,its now a matter of galloping to the finishing line-on this show we will conquer all that stands on our way
 
Reactions: GUI
Alexis Vidal ameumia vibaya aisee anaweza kuwa nje ya uwanja kwa kipindi chote cha msimu kilichobakia
 
Alexis Vidal will be out for 5 months, due to dislocated ankle
Ile injury imeniuma sana kama imetokea mimi nahisi , najaribu kuvaa viatu vyake daaah kama ulikua unanifuatilia kwenye post zangu since last month ameanza kuchezeshwa nilikua namfagilia kushinda hata anapocheza S Roberto !!hata jana goal moja ni assist yake ,yaani kuna kitu tumekipoteza technically , especially kwenye kushambulia kutokea upande wa kulia pamoja na cross balls zako hatari za right wing ,Sergio yeye anakua mgumu kidogo kupanda au anapanda at wrong time na kutu cost
 
Ni kweli mkuu ile injury ni mbaya sana
 
Mkuu s.roberty n holding mild field typically...cjui kwa nn jamaa aliamua kumchezesha right fullback.. Yuko very slow...lakn Alex vidal n no.2 haswaa...
 
dah. hii ni habari mbaya sana. jamaa ndiyo alikuwa kaanza kuusoma mchezo halafu anaumia!.
 
dah. hii ni habari mbaya sana. jamaa ndiyo alikuwa kaanza kuusoma mchezo halafu anaumia!.
Nilikua naanza kuiona copy ya Dan Alves mkuu he is so aggressive kwenye ku attack na magoli yake tumeyaona hata jana ametoa assist ya goal la kwanza
 
Mkuu s.roberty n holding mild field typically...cjui kwa nn jamaa aliamua kumchezesha right fullback.. Yuko very slow...lakn Alex vidal n no.2 haswaa...
Roberto alilazimika kucheza ile namba kwasabu hakukuwa na mbadala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…