Mkuu mbadala ulikuwepo ila kocha hakumuamn Alex vidal mapema...mm bado namulaum kwa kumtumia s.roberty tumepoteza bonge la mild field...Roberto alilazimika kucheza ile namba kwasabu hakukuwa na mbadala
Hapana usimulaum, imigine saizi s. Roberto angekuwa hiyo nafasi hajaimudu halafu Vidal ameumia, ingekuaje?Mkuu mbadala ulikuwepo ila kocha hakumuamn Alex vidal mapema...mm bado namulaum kwa kumtumia s.roberty tumepoteza bonge la mild field...
Nasikia Vidali alikuwa hajitumi mazoezini hadi Lucho alimmind. inawezekana alianza kujituma. Gomes naye mechi za mwishoni naona alijitahidi sana. vipi jana aliperform fresh? huyu hawezi singizia kuwa hapati nafasi.Alex vidal ni mzuri sana lkn mwanzoni alikuwa hajacop mchezo wa barca nimegundua kuna kitu kizuri kipo kwenye usajili wa Luis enrique lakini tatizo ni kwamba hawapi nafasi ya kutosha
kipindi yupo Alves na yeye akipiga MF alikuwa anapiga mpira mwingi sana. kwakweli pale tunapoteza mildfilder wa kiwango cha juu sana.Mkuu mbadala ulikuwepo ila kocha hakumuamn Alex vidal mapema...mm bado namulaum kwa kumtumia s.roberty tumepoteza bonge la mild field...
Mkuu mm nadhani ni rahisi kupata midfielder kwa Barca kuliko fullbackkipindi yupo Alves na yeye akipiga MF alikuwa anapiga mpira mwingi sana. kwakweli pale tunapoteza mildfilder wa kiwango cha juu sana.
Unaona...hata Ile game ya El classico dogo alikichafua Ile mbaya...pamoja na umr kuwa mdogo na uztto wa mech lakn dogo dimba alilikamata vizur. Sana...n bora angemubakiza batra..kipindi yupo Alves na yeye akipiga MF alikuwa anapiga mpira mwingi sana. kwakweli pale tunapoteza mildfilder wa kiwango cha juu sana.
Si kwel..Mkuu mm nadhani ni rahisi kupata midfielder kwa Barca kuliko fullback
Mkuu urahisi sio pesa tu, na maanisha kuwa midfielder wako wengi sana hata kutoka barca B, lakini hao ma fullback ningumu kidogoSi kwel..
Umeiona jins tulivyotumia pesa nying kwa Gomez, na Denis Suarez....? Angekuwepo Thiago Alicante, na roberty ingekua n generation nzur sana... Sasa one touch ya s.roberty kaiua kabsa...
Uko sahihiMild field kwa sasa hatuna..tulizoea kuzitoa la masia.... Tatzo na Enrique n kununua wachezaji kwa gharama kubwa sana wakat tuna la masia...Alex vidal, Gomez, Denis Suarez, Palacios na Mathew...Zaid haangalii umri...
Mkuu kiukwel mm niliumia sana kwa Alcantara kuondoka tena kipind hicho xavi alikua mwishon kabsa....ckuelewa kwa nn barca tulimruhusu...hiv Sasa Iniesta umr tayar lakn angekuwepo Thiago naamn angekua ameshakua mjuz kwa sababu ya kucheza chin ya uangaliz wa middle bora kabsa...Iniesta na xavi...hii mistake kwa nn tuliifanyaUko sahihi
Nikweli ilikuwa mistake, na kwamiaka ya karibuni kupata midfikder wazuri tusahau maana mpaka waandaliwe LamasiaMkuu kiukwel mm niliumia sana kwa Alcantara kuondoka tena kipind hicho xavi alikua mwishon kabsa....ckuelewa kwa nn barca tulimruhusu...hiv Sasa Iniesta umr tayar lakn angekuwepo Thiago naamn angekua ameshakua mjuz kwa sababu ya kucheza chin ya uangaliz wa middle bora kabsa...Iniesta na xavi...hii mistake kwa nn tuliifanya
At least Barca watutoe stress ya nyumbani-"witch hunt" inayoendelea Bongo is not good for our health. MSN please tusaulisheni machungu ya nyumbaniLeo ni leo ni usiku mwingine wa jinamizi kwa PSG ni usiku wa furaha kwa FC BARCELONA na mashabiki wake duniani kote na ni usiku utakaofanywa uwe mwanana kwa safu ya MSN watakapousambaratisha mnara wa Ufaransa
Viva Barcelona
Tukutane saa 4:45usiku E.A.T
Kumbuka ukichelewa kuitizama mechi hii walau kwa dakika kumi
utamkuta Mnyaaamaa (japo sio T.I.D) KING MESSI kashaingia nyavuni mara 2 au kashatoa pande la mwisho lililowazamisha PSG
Mkuu vp tena na ww umekua manji...au muuza ngada...? Barca must win this game...nackia Thiago silver leo hayupo...!At least Barca watutoe stress ya nyumbani-"witch hunt" inayoendelea Bongo is not good for our health. MSN please tusaulisheni machungu ya nyumbani