Mkuu I wish iwe hvyoikiwa ndani ya dk 40 ARSE10 amepigwa 5
JE PSG dakika 90 atakula ngap??[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
ASANTENI KWA KUJA
BONJOUR MWISHO PARIS
mkuu ondoa hofu kabisa hawa wetuMkuu I wish iwe hvyo
Barca ya mwaka 2009 haipo tena endelea kujifariji naona yanakuja kuwatokea kama ya Arsenal na mjue kocha wa PSG kafundisha Sevilla anaifahamu sana Campnou atakuja kuwashambulia hapo hadi mtajiona Hamna maanaJiji la Barcelona leo ni joto sana- ni football ndio ina dominate-je will Barca win and go through or win and be chucked out? Book makers have been cautious with odds, fearing one of the greatest comeback in footballing history is about to unfold. All in all with fingers crossed we wish IN this hour of need,Barca live up to the billing and make us once again as usual, proud to be Barca fans
Atapigwa 6ikiwa ndani ya dk 40 ARSE10 amepigwa 5
JE PSG dakika 90 atakula ngap??[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
ASANTENI KWA KUJA
BONJOUR MWISHO PARIS
kweli kabsa mkuu[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Washikaji leo ni siku ya bahati sana Mungu amenionuesha kwa mifano thats why Barcelona ataisimamisha dunia
Come on boy hajawahi kuifunga Barcelona tangu yupo PSG acha kujifariji leo PSG wakatembea na msuli goal watakazopigwaBarca ya mwaka 2009 haipo tena endelea kujifariji naona yanakuja kuwatokea kama ya Arsenal na mjue kocha wa PSG kafundisha Sevilla anaifahamu sana Campnou atakuja kuwashambulia hapo hadi mtajiona Hamna maana
tushawafunga [emoji1] [emoji1] [emoji1]hiki ndio kikosi cha leo
View attachment 478165
Very possible tumebakiza 1 :10 minBarca kila la heri ila sioni mkienda mbele ...tunashkuru kwa kushiriki michuano hii tuachieni wanaume madrid
tupo mkuu tunasubiri kuweka historia. ila nahisi ili tupate magoli mengi tunahitaji 4 pale kati japo tutarisk kufungwa. kukosa goli la ugenini kumetuweka pabaya sana.Washikaji eeeh mko wapi?mbona baadhi hawaonekani? au wanaipenda team ikiwa kwenye situation nzuri..
Mwandiko huu unafanana sana!KING ALISHASEMA YEYE BINAFSI HAWEZI ONDOKA BARCELONA ila ATAONDOKA BARCA WAKITAKA AONDOKE
ZAMU YA PSG LEO
ikiwa ndani ya dk 40 ARSE10 amepigwa 5
JE PSG dakika 90 atakula ngap??[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
ASANTENI KWA KUJA
BONJOUR MWISHO PARIS
We acha tu navuja jasho hapa natamani Camp Nou kungekua mkuranga niende kwa miguu nikacheze mwenyewetupo mkuu tunasubiri kuweka historia. ila nahisi ili tupate magoli mengi tunahitaji 4 pale kati japo tutarisk kufungwa. kukosa goli la ugenini kumetuweka pabaya sana.