Tugawane mkuuWengine hela zetu simeingia
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Saa hii tumeanza kuwatafuta
Cjui walikuwa wap hawa psg
Hawa ilitakiwa tuwe 3-3Kabsaaa mkuu dhaaa!!
Cjui aliteleza vp
Aaaah[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Cjui walikua hawajashtua
Ubongo naonaa
Lakin watatoka tuuu wapendeHawa ilitakiwa tuwe 3-3
Tumenyimwa penalt na Cavani amekosa
[emoji511]
Bdo 15 mints labda tu mjikaze sanabado 3.
Hawa tuna wang'oa kilazima leoLakin watatoka tuuu wapende
Waspende
Nakweli mkuu angalauAaaah
Tulitaka Barca atoke kwa heshima kidogo.
Isiwe kama Wenger jana
Messi anashindwa hata kumiga Aubameyang, mwenzie ana hat trickNakweli mkuu angalau
Wajifute machoz