FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Povuuuuuu,umenyolewa tuliaaaa mkuu na bado jpili lazima mumtimue kocha kabla ya msimu kuishaaaaa
 
Povuuuuuu,umenyolewa tuliaaaa mkuu na bado jpili lazima mumtimue kocha kabla ya msimu kuishaaaaa
Barcelona ni team ambayo inafanya conservation hatuna mambo ya kihuni kama ya Bernabeu nikuulize swali rahisi Iker Cassilas alivyotimuliwa ataizungumziaje Madrid ukimlinganisha na Xavi atapoizungumzia Barca?
Jibu unalo Messi hajawahi kuzomewa na washabiki wa Barca na haitawahi lakini uliza CR7 amezomewa mara ngapi pale Bernabeu ,jibu unalo Madrid ni team ya kibepari
Wanachoangalia wao ni "means to an end "
 
Enzi ya barca imeshapita messi sahv ni bingwa wa kuweka rangi nywele kuliko kucheza mpira
Messi yupo yupo tuu yaan, najia watakwambia aanaongoza magoli, sasa hayo magoli ambayo anafunga na haya isaidii timu ya nn si bora akae nayo!!!
zaman Messi kwenye mechi kama za juve ndio alikiwa ana ng'ara ana wabeba barca akisaidiana na ma refa, sku hizi mara atukane waamuzi, yaan fujo tupu, halaf timu lake hata haliend popote lipo lipo tu.
 
nyie ili mtufunge labda tuchezeshe Madrid C, ila hata droo mwaeza ambulia
wαtααlαm wa soka wαmєѕєmα "R.MADRID KUMFUNGA BARCELONA NI SAWA"

1. вαѕhítє kuσnчєѕhα vчєtí

2. Hαmσrαpα kuѕhíndα tuzσ чα MTV base

3. Mαgufulí kuhαmíα Chαdєmα

4. Gwαjímα kunчαngαnчwα uchungαjí nα kupєwα hαmσrαpα

5. αrѕєnαl kuchukuα UEFA [emoji23][emoji23][emoji12]
 
Yaani wewe bora ukae huko huko kivu
 
Barcelona kumfunga madrid je!!? [emoji28]
nakwambia jirani madrid hawez fingwa, can you get a draw? yes you can. ila hamshindi pale
 
Reactions: PNC
hapa jirani nakubaliana na wewe, kwenu nyie timu ni kama kabila, mnashinda pamoja mnashindwa pamoja, kwetu siye timi ni kama kampuni tunakulipa you have to perform, though kitendo cha kuwazomeaga ma legend huwa kina niuma.
ila alikuwa ana zomewa Raul, sjui kama kuna kiumbe hawez zomewa na madridistas
 
Ilianza enzi za Raul Gonzalenzi mtu ambaye alijitoa hadi jina la pili akabatizwa kama Raul Madrid ndio maana mkapata laana ya miaka 10 bila kuchukua UEFA
 
Ukizingua ni kukuzomea tu hakuna kulemba mkuu....
 
Jamani iache barca yangu
 
mmefanya figisu hadi Neymar hatacheza. kwetu siyo kesi, jpili tunaweza kuwawekea Paco na kuwapiga 3-0.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…