GUI
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,847
- 1,300
Anamagoli mangapi msimu huu mpaka awe mfungaji bora?Mkuu Huyo messi wenu si wakulinganishwa na ronaldo bhana...maana bado sana kwa CR7...sasa hivi bwana CR7 ndie Mfungaji bora ulaya katika LIGI KUU 7 BORA EUROPE NA SIO HUYO MESSI...CR7 Ameshavunja record ya jimy greevs...na sasa bado magoli saba TU avunje record ya GWIJI ALIYEICHEZEA CLUB YA SANTOS YA HUKO BRAZIL "PAUL NUTALI'S"...muulize neymar anamjua sana Huyo Paul Nutali's na Alitamani sana kufikia record ya magoli ya Huyo jamaa pindi alipokuwa pale SANTOS ili apewe heshima ya kipekee klabuni hapo lakini hatimaye alichemka na HESHIMA YA BWANA PAUL NUTALI'S IMEBAKIA MIOYONI MWA WASHABIKI WA SANTOS FOREVER...KWA SASA MCHEZAJI PEKEE ANAYETAZAMIWA KUFIKIA RECORD HIYO NI CR7 TU KWA MAANA ANA MAGOLI 400 KATIKA LIGI NYUMA KWA MAGOLI 7 DHIDI YA PAUL NUTALI'S MWENYE RECORD YA MAGOLI 407 YA LIGI...Hii ni kwa league(LaLiga) tu...ebu imagine LEO10 amemtangulia CR7 5-SEASONS OF LALIGA PALE SPAIN LAKINI RONALDO KACHEZA MISIMU 7 TU NA AMEMZIDI HUYO MESSI WENU MAGOLI KATIKA LIGI...
View attachment 507273 View attachment 507323
View attachment 507272 View attachment 507325 View attachment 507330
View attachment 507274
View attachment 507293
CR7 Si mtu mzuri yule jamaa anashindana Kufunga magoli na "TEAM AS A TEAM" na sio individual person kama LEO10...Ebu ona kwa upande Wa UEFA Champions League(Ligi ya vilabu bingwa ulaya) jamaa ana magoli mengi Kuliko ata TEAMS kama ATLETICO MADRID,BENIFICA NA NYENGINEZO...WAKATI HIZO TEAMS ZIMEANZISHWA ATA CR7 HAJULIKANI KAMA ATAZALIWA LAKINI AMEISHAZIZIDI MAGOLI UEFA...
View attachment 507284 View attachment 507329
View attachment 507302 View attachment 507327
Kuzihirisha CR7 ni habari nyingine katika swala la UFUNGAJI...ana viatu vinne Vya ufungaji bora katika ligi ya mabingwa ulaya mbele ya Huyo messi wenu mwenye vitatu...Na msimu huu naona messi haamini kinachotokea kuwa RONALDO ANAENDA KUONGEZA KIATU CHA TANO CHA DHAHABU KWENYE KABATI LAKE maana LEO10 ana MAGOLI 11 na Assist 2...Wakati CR7 Ana MAGOLI 10 na Assist 5...Hivyo ni swala dogo sana kwa CR7 Kupata hilo goli moja na kwa kuwa ameshamzidi LEO10 kwa assist this season 2016/2017 in UEFA Atapewa kiatu chake Safiii kabisa...hapa LEO10 haelewi kabisa CR7 NI KIUMBE WA AINA GANI KWA KUWA ALIMUACHA GOLI 9 NYUMA MARA IMEKASORO GOLI MOJA TU...YANI RONALDO KASHINDA MAGOLI 8 KATIKA MECHI TATU MFULULIZO WITH A BACK-TO-BACK HAT-TRICKS AGAINST BAYERN AND ATLETICO MADRID.
View attachment 507288
View attachment 507289 View attachment 507315 View attachment 507316 View attachment 507320
View attachment 507294 View attachment 507321 View attachment 507322
Bila kusahau GOLI LAKE ALILOWAFUNGA "AS ROMA" MSIMU ULIOPITA UEFA NDILO LILIPIGIWA KURA NA KUCHAGULIWA GOLI BORA LA UEFA MSIMU WA 2015/2016...NA BADO GOLI LAKE LA MWISHO ALILOWAFUNGA BAYERN KULE ALIANZ ARENA(FIRST-LEG) MSIMU HUU LIMEPIGIWA KURA KUWA BEST GOAL OF THE QUARTER-FINAL UEFA SEASON 2016/2017...
View attachment 507295
CR7 Ndiye mchezaji anayeongoza kuzifunga teams kubwa za ujerumani..na amewafunga GOALKEEPERS bora magoli mengi barani ulaya...wakiwemo Neur na Buffoni(sina wasi ata fainali historia yake ya kumfunga Buffon itajirudia)...messi hajawai mfunga Gianlugi Buffon...kashindwa hadi na dogo yule KYLAN MBAPPE Wa Monaco Jana...mkiambiwa mnasingizia Ooh!..ukuta Wa juve mgumu sana ule...kama hivyo ndivyo mbona yule dogo kamtoboa mtu mzima Buffon 2nd-Leg Jana?
->BINAFSI NAFATILIA SOCCER NA RECORDS ZA HAWA VIJANA WAWILI NAWEZA KUFANYA SIMPLE CLASSIFICATION BAINA YAO...KAMA IFUATAVYO...
CONCLUSION...
1st - "IT'S SIMPLY LEO10 SCORE GOALS BUT CR7 IS A DEFINITIVELY GOAL-SCORING MACHINE TESTED TO THE LIMIT..."
2nd - "LEO10 OWN THE PITCH BUT CR7 OWN THE BOX..."
3rd - "THEY ARE TWO DIFFERENT PLAYERS..AS A LEO10 IS A MASTER-DRIBBLE AND TALISMAN WHILE CR7 IS A MASTER-PACE AND GOAL-POACHER".....
Halafu mleta picha haja mlinganiaha messi na Ronaldo wako!!!