Yeah ameshakubali na wameshakubaliana mimi nataka wa finalise ndio nitakua na uhakikaLiverpool wanataka paundi milioni 89 kwa ajili ya Coutihno
Sent from Samsung Galaxy s8+
PlayStation huwa ina maajabu ya dunia barca anaweza kufungwa hata na Aston villajana kuna jamaaa sijui walikuwa play stesheni nikaona man u 7 barca 0 daaahhh nilishaaaangaaaa
Hii mechi ya leo itabidi watusamehe,ngoja niendelee na holiday mie-hizi mechi ambazo halftime inabadilishwa timu nzima zinakata stimuYeah ameshakubali na wameshakubaliana mimi nataka wa finalise ndio nitakua na uhakika
Ha ha tuangalie bana leo ni saa nane na nusu usiku atleast huu muda uko friend kidogo channel ni world football startimes([HASHTAG]#254[/HASHTAG]) au Azam kwenye channel ya Man UnitedHii mechi ya leo itabidi watusamehe,ngoja niendelee na holiday mie-hizi mechi ambazo halftime inabadilishwa timu nzima zinakata stimu
King'amuzi cha Azam watairusha game ya barca ya usiku kweli?Ha ha tuangalie bana leo ni saa nane na nusu usiku atleast huu muda uko friend kidogo channel ni world football startimes([HASHTAG]#254[/HASHTAG]) au Azam kwenye channel ya Man United
Liverpool wamekataa kumuuza Coutinho wamesema is not for sale sijui itaishia vipi kuna kuangukia pua moja kwa moja au kufanikiskisha tu (2 types za decision kutokana na mazongumzo yao)
I needed attacking midfield kama Coutinho tuombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Channel ya Man U
Wateja wetu wa kudumu ,Man U tangu nakua sijaona Man U anaifunga Barca
Napitaa tuu, tukutane midnight[emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
hizi team za premiership uwa zinaonewa sana na Barca-hapo Barca atakuwa kwenye mazoezi ya tiki takaHa ha tuangalie bana leo ni saa nane na nusu usiku atleast huu muda uko friend kidogo channel ni world football startimes([HASHTAG]#254[/HASHTAG]) au Azam kwenye channel ya Man United
Liverpool wamekataa kumuuza Coutinho wamesema is not for sale sijui itaishia vipi kuna kuangukia pua moja kwa moja au kufanikiskisha tu (2 types za decision kutokana na mazongumzo yao)
I needed attacking midfield kama Coutinho tuombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha una uhakika???Wateja wetu wa kudumu ,Man U tangu nakua sijaona Man U anaifunga Barca
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadae uwe humu humu...tusipotezajeFC BARCELONA LEO TUNAWABAKA MAN U
Tulicheza na liverpool wakatufunga sio na Man U