Mkuu hapo sub wanakuwepo. Inigo martinez na jean michael Seri
Aliingia dk ya 88. FT 3-0 goli la Morata.Team yenyewe kama ndio hii kweli kuna haja ya kumrudisha David Villa
Ni Director of sporting institutional relations at FC BarcelonaSoler ni nani?
Kumbe tuna director mwendawazimu hivi? Labda awe ametumwa kuja kutoa haya majibu ya kiuwendawazimu.
Hahahaha hii board inasemwa vibaya kila konaKumbe tuna director mwendawazimu hivi? Labda awe ametumwa kuja kutoa haya majipu.
Hii board wanaupungufu wa AKILI, kwa lugha nyingine hawana AKILI timamu hata kidogo. Lamasia Academy ndiyo ulikuwa moyo wa team "according to Johan Cryful philosophy of football".Eti club traditionals, hivi zama hizi kweli kuna mambo ya tamaduni? Hii Board sijui tamaduni za kijinga zilianza ujinga wake muda sana. Ni board hiyo hiyo kipindi cha nyuma fans tulitaka sana tusajili mabeki, hususani David Luiz na Mart Hummels, kilikuwa ni kipindi ambacho Puyol alishaanza kuchoka.
Barca hatujawahi kuwa na usajili wa maana ndio maana zama za hivi karibuni tumeshindwa kuwa na spuad nzuri. Yaani benchi hakuna wachezaji wa maana, hata ndani ya kikosi cha kwanza kuna mapungufu mengi. Tujifunze kwa Bayern, Madrid na PSG, Chelsea, ni timu ambazo kuanzia kikosi cha kwanza mpaka benchi wote wapo vizuri.
Nakubaliana na ww Mkuu, kama waliuza wale akina Alcantara, Marc Bartra n.k basi wangeamua kutumia pesa nyingi sana kwenye kutengeneza kikosi na sio kuacha kikosi ktk hali hii.Hii board wanaupungufu wa AKILI, kwa lugha nyingine hawana AKILI timamu hata kidogo. Lamasia Academy ndiyo ulikuwa moyo wa team "according to Johan Cryful philosophy of football".
Walianza kubugi pale walipoacha kuwaamini wahitimu wa Lamasia na badala yake wakawa wanawauza hovyo hovyo.
Lakini kama wangekuwa na AKILI timamu kuwauza graduates wa Lamasia haikuwa issue sana kwani badala yake wangekuwa wanafanya usajili wa maana kama vilabu vingine kama Madrid, PSG, Man U, etc etc etc
Jinga sana Bartomeu sijawah ona....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndo habari inayo break internet za Spain ,na hii siku Messi akiondoka sijui sura yangu nitaificha wapi au sijui nitasema na kutetea nini
Hii ndo habari inayo break internet za Spain ,na hii siku Messi akiondoka sijui sura yangu nitaificha wapi au sijui nitasema na kutetea nini
Najisikia uchungu na hasira mimi halafu Bartemeau hana hata hisia punje
Wabaya hao team Valencia hata angekuwepo Penaldo na magoli ya ku dive asingepata penaltyZaza and Parejo says hi!!
Noma sana wale watu.Wabaya hao team Valencia hata angekuwepo Penaldo na magoli ya ku dive asingepata penalty
Hapo bado hawajaenda mastalla. Mashabiki wanakuwa kama wanaangukia wachezaji. Utafikiri mnacheza kwenye kisima.Wabaya hao team Valencia hata angekuwepo Penaldo na magoli ya ku dive asingepata penalty
Hivi unajua jamaa nao wanamiliki magarass?Balle na Benzema ni mizigo yakutosha tu kule MadridHapo bado hawajaenda mastalla. Mashabiki wanakuwa kama wanaangukia wachezaji. Utafikiri mnacheza kwenye kisima.
Hata kavasquez kama umekafuatilia vizuri ni kagalasa. Navas naye ni tiamajitiamaji.Hivi unajua jamaa nao wanamiliki magarass?Balle na Benzema ni mizigo yakutosha tu kule Madrid
Wewe ukome kama ulivyokoma z... la ......!!!!!- mimi Barca damu-watu wana panic bure Barca will always be on top-we will always win sema tatizo naona tiki taka itapungua tutakuwa more result orientedMkuu si utahamia timu atakayocheza Messi kwani shida iko wapi? Mwenzio yule mama jackline ashahama Barca kitambo tu