Madrid wanaenda kwa nguvu za almighty,spanner mkononi,hebu mie nimsubiri DembeleWoyooo noise makers Madrid wana suffocate na draw dk ya 90'
Hata mwaka jana ulikuwa mwendo mbovu huuhuu. Walitukuta tu tumekaa vibaya. Hakuna timu pale bila yule drama queen mambo hayaendi.Madrid wanaenda kwa nguvu za almighty,spanner mkononi,hebu mie nimsubiri Dembele
Marcelo naye nje,mpaka ban iishe wata suffer sanaHata mwaka jana ulikuwa mwendo mbovu huuhuu. Walitukuta tu tumekaa vibaya. Hakuna timu pale bila yule drama queen mambo hayaendi.
Yule dogo nilikuambia hamna kitu mnaniona nina wivu Neymar hata msimu uliopita ametukosesha kikombeNimetazama match ya PSG,Neymar wakati yuko Barca,anakaa wing anangoja mpira hence ana conserve energy for those outbursts of his.Huko PSG he is everywhere yaani sooner or later ata suffer burn out
Pia hawezi tena kuwa darling wa timu. Anakimbia shadow ya Messi anakutana na ya Mbappe, ambaye yuko nyumbani! From the frying pan into the fire!Nimetazama match ya PSG,Neymar wakati yuko Barca,anakaa wing anangoja mpira hence ana conserve energy for those outbursts of his.Huko PSG he is everywhere yaani sooner or later ata suffer burn out
YESMarcelo Red card
dembele na semedo tuitazame hii flank inakuwaje-iki gel tunatangaza ubingwa kabisaDembele.....sa nne kasoro robo usiku....Barcelona Derby
Semedo tumeshafanya clearance kazi imebakia kwa Dembele namshauri asi panic tu maana barca requirements ni nyingi atacheza under a lot of pressuredembele na semedo tuitazame hii flank inakuwaje-iki gel tunatangaza ubingwa kabisa
Velverde ameambiwa na gazzeti za leo-Kwamba Barca inahitaji goal 3 au Zaidi kurudisha Imani ya wazawaSemedo tumeshafanya clearance kazi imebakia kwa Dembele namshauri asi panic tu maana barca requirements ni nyingi atacheza under a lot of pressure
Ndio ushindi tuliozeaVelverde ameambiwa na gazzeti za leo-Kwamba Barca inahitaji goal 3 au Zaidi kurudisha Imani ya wazawa
Lucho ndiye aliyewapa Madrid makombe yote msimu uliopita kwa ujinga wakeMadrid wanaenda kwa nguvu za almighty,spanner mkononi,hebu mie nimsubiri Dembele
Neymar kuna kitu anajaribu ku-prove kuwa alinyimwa uhuru wa kufanya kile anachotaka kufanya, na anajitutumua kweli (he is a vr good good player though) lakini kuna kipindi cha judgement kinakuja ambacho ndani ya week moja ni either team yako ishinde treble au kupoteza vikombe vyote hapo ndio itajulikana kama yaliyopo yamo au laNimetazama match ya PSG,Neymar wakati yuko Barca,anakaa wing anangoja mpira hence ana conserve energy for those outbursts of his.Huko PSG he is everywhere yaani sooner or later ata suffer burn out
Jack vipi huko, Catalonia inaweza kujitenga? Nini itakuwa hatima ya Barca?