Left flank, Messi alicheza False nineNaombeni kujuzwa Suarez alikuwa anacheza nafasi gani kwa sababu nadhani hachezi katika nafasi yake aliyoizoea
Sent using Jamii Forums mobile app
We si the blues?
Ni kweli ila kama ni nafasi tulitengeza Mkuu. Kumbuka goli la I.Raktik, pia goli la Suarez ingawa alikuwa offside. Mbali na hizo nafasi, kumbuka Dembele aliwakosa baada ya kuangushwa na beki wa Juve ndani ya box na mpira ukawa umeenda nje (tukapata kona) kufuatia tackling ya beki wao huyo. Kadhalika pia Iniesta walimwangusha nje ya box tukapata free kick.Tuna timu nzuri ila mimi kiukweli kwa navoona tuna ubovu wa upande wa kushoto hatuna winga ambae yuko vizuri, Suarez mara nyingi anakuja kusaidia kushoto uku na hana skills sana za kupunguza mabeki na pia hatutengenezi nafasi kabisa mana magoli tunayofunga ni juhudi za Messi tu. Kama match na Juventus sijaona nafasi za wazi zikitengenezwa zaidi ya magoli tu ya juhudi ya Messi. Tukicheza na timu nzuri ndo tutaona weakness zetu.