NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,135
Mkuu hakuna kitu huwa nakereka kama hicho mkuu!Ila jamani wana Barcelona wenzangu pamoja na yote hua naumia sana nikimuona Sergi Roberto akichezeshwa beki ya kulia. Kwa maoni yangu namkubali sana huyu jamaa na naamini nafasi ya Raktic anaimudu sana akipewa nafasi mana kwa upande wa Iniesta huyu jamaa mnasema kazeeka ila mie sijaona Iniesta akicheza vibaya yani kila match anacheza vizuri mno. So mi naamini ni wakati wa kumuamini acheze kama kiungo na pia ni wakati wa kumuamini Denis Suarez acheze nafasi ya winga ya kushoto/
Wanasema kikosi kimekosa kemia. Wachezaji wao kila mtu anacheza ligi yake. Wakikutana wanashindwa kuelewana. Tofauti na Nchi kama Spain au Ujerumani.Anashindwa , kukipanga kile kikosi, akipanga vzr, hao germany, sijui spain watakiona cha moto
HakunaHabari wakuu. Nipo ugenin leo halafu mwenyeji anatumia startimes. Je kuna channel yoyote katika hiki king'amuzi inayoonesha laliga?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Waheshimiwa Atletico, pigeni hawa Mbwa warudi Catalunya wakapige tena kura za Kujitenga..
And the vice~versa is true...Waheshimiwa Atletico, pigeni hawa Mbwa warudi Catalunya wakapige tena kura za Kujitenga..
Hata mimi nimeshangaa ameacha S Roberto au Paulinho nakuingizwa Robot
Yeah ni exact 1 month tangu ufunguliwe upya (tarehe 16-09)Ngoma imeanza ila huu wanda metropolitano upo bomba sana.
Yaani we acha tu sijui kwanini S Riberto asingemuanzisha?Huyu kocha hii mechi tukipoteza tatueleza nini..?