FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Tusingeporwa ushindi kwenye mechi ya leo na ile iliyopita hawa jamaa tulikuwa tumewaacha 12 points. Ila mambo yetu si mabaya sana. Varmelean akikaza tutasurvive hii miezi miwili bila Umtiti.
 
Jumanne tunacheza na Sporting UCL. Next weekend tunapiga na Villareal na baada ya hapo, Deportivo na baada ya hapo tunakipiga na Madrid.
 
Safi kabisa. Habari njema
We Mcharo kuja hapa
Wakati ka huu waga unapotea ghafla
Unaongea shombo zako unajigambaaa ila mambo yakikuendea kombo huyo kimyakimya unaingia mitini mpaka next week ndo unakuja kutupanulia domo siye tunakuhitaji sahivi kudadeki zako
Njoo utupayukie sahivi hizo pumba zako
Ww hayo makelele yako ya mchana yamekusave popote
Umeachwa na majirani zako atletico na sevilla anakushika sahivi *****
Next week anakunyoya uduvye huyohuyo sevilla utagutuka nafasi ya sita na kina villanjano kudadeki la liga si ya babako
Ufalme wako kawapigie kenge ka Bayern uliozoea kuwaguguma
Pumbav kbs!!?!!!!!?????!!!!
 
Na yeye alijua hilo. Kuna mda alienda kukikick net, kuna mda alisali baada ya kukosa goli. Yuko frusatrated sana. Ni kama Suarez. Ukiangalia facial expressions zao unajua kabisa hawa watu wanajua wanachemka na wako frustrated.
huyu ata asali hana kipaji bora akawe mrithi wa mkimbiza upepo usain bolt
 
Mshughulikie tu. Mdwanzi sana, Anavobwatuka kabla ya mechi utafikiri yeye ndiyo mchezaji wa mdridiot wakisaidiana na yule wanae pelekaga nae choo Morocco kwa jamaa yao.
 
Valencia na Getafe draw inanukia tena wamekoswa koswa sana kukalia chuma and still Getafe wako 9 mchezaji wao mmoja amepigwa red card
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…