FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FIFA Club World Cup Champions.
We Dada leta Wine nyingine hapa mezani tusherekee another Trophy into the Rocker
Hilo trophy ni kubwa jinga
Kombe jina kuuubwa ila timu hamna
Rudi ulaya nyambaf tukuonyeshe
Jmosi utafanywa mishikaki tukunywee bia
 
Hilo trophy ni kubwa jinga
Kombe jina kuuubwa ila timu hamna
Rudi ulaya nyambaf tukuonyeshe
Jmosi utafanywa mishikaki tukunywee bia


We jamaa uwa unaongeaga pumba kweli, mi nafikiri hii football sio fani yako, umeanza kudandia gari kwa mbele juzi tu.
 
FIFA Club World Cup Champions.
We Dada leta Wine nyingine hapa mezani tusherekee another Trophy into the Rocker
Kombe la mbuzi....zinacheza team za ajabu...ha ha ha hadi Madeid nayo ya ajabu..eti kombe unaanza kucheza nusu fainali halafu unashangilia wakati umebebwa kuanzia mwanzo wa competitions [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kombe la mbuzi....zinacheza team za ajabu...ha ha ha hadi Madeid nayo ya ajabu..eti kombe unaanza kucheza nusu fainali halafu unashangilia wakati umebebwa kuanzia mwanzo wa competitions [emoji23][emoji23][emoji23]


Hata Spanish Super Cup ni kombe la mbuzi na wakacheza na timu ya ajabu. Real Madrid walibebwa wakakupiga nje ndani. Hata mimi sijui kwanini wanashangilia.
 
We jamaa uwa unaongeaga pumba kweli, mi nafikiri hii football sio fani yako, umeanza kudandia gari kwa mbele juzi tu.
Mkuu uwe unatafakar kwanza kabla hujaongea
Kombe halina timu za maana.
Mmepata Ugumu coz ninyi ni wabovu
Rudini ulaya dadeki zenu tuwanyonyoe hivyo vipele

sent from my xm udongo using jf app
 
Mkuu uwe unatafakar kwanza kabla hujaongea
Kombe halina timu za maana.
Mmepata Ugumu coz ninyi ni wabovu
Rudini ulaya dadeki zenu tuwanyonyoe hivyo vipele

sent from my xm udongo using jf app


Are you stupid like that in real life? In order to play Club World Cup, you must win the Champions league in your continent. Real Madrid ni mabingwa ndio maana huwezi kuwaona Malaga wanaenda kule. Na kwa taarifa yako tu, ile timu Gremio inatoka Brazil. Sasa kwasababu we ni mofo hujui mpira ndio maana unaishushia heshima Brazil.
 
Hata Spanish Super Cup ni kombe la mbuzi na wakacheza na timu ya ajabu. Real Madrid walibebwa wakakupiga nje ndani. Hata mimi sijui kwanini wanashangilia.
We are back in business nyie mwakani sijui hata kama UEFA mtacheza tia maji tia maji halfu sijui ulipitelea wapi we mtu
 
We are back in business nyie mwakani sijui hata kama UEFA mtacheza tia maji tia maji halfu sijui ulipitelea wapi we mtu


Kaa usubiri mwakani lakini you can't take away what we achieved in this 2017.
Mi sikupotea, nipo sana humu, ila mi sio troll for no reason like you guys. Nimekuja kuongea na wewe hapa kwasababu ya [HASHTAG]#ElClassico[/HASHTAG].
 

Kwan nan hajui kuwa ni ya Brazil?
Angalia mwenendo wa matokeo yake hapa usikurupuke
 
Kaa usubiri mwakani lakini you can't take away what we achieved in this 2017.
Mi sikupotea, nipo sana humu, ila mi sio troll for no reason like you guys. Nimekuja kuongea na wewe hapa kwasababu ya [HASHTAG]#ElClassico[/HASHTAG].
I think you know kitakutokea nini Jmos nakushusha kabisa point na kukutoa race ya liliga ili uendelee kugombea nafasi ya pili na tatu ucheze japo UEFA next season
 
Mtani nasikia kuna Team inaitwa Al-shabaab ulicheza nayo ,Ronaldo nasikia anajisifia kwa kuwafunga [emoji23][emoji23] zee la small teams na small countries
 
I think you know kitakutokea nini Jmos nakushusha kabisa point na kukutoa race ya liliga ili uendelee kugombea nafasi ya pili na tatu ucheze japo UEFA next season


That will be war at the Bernabéu stadium my brother. Take your pride away and think about the game.
 
Its our playground hapo ha ha ha favourite stadium ya every Barca player Messi ndo anapapenda zaidi


Santiago Bernabéu ni favourite stadium for every football player in the World. No wonder they call it the Cathedral of football. Ni matumaini yangu tutashirikiana katika kukubali matokeo hiyo Jumamosi.
 
Santiago Bernabéu ni favourite stadium for every football player in the World. No wonder they call it the Cathedral of football. Ni matumaini yangu tutashirikiana katika kukubali matokeo hiyo Jumamosi.
Nakuandaa kisaikolojia kabisa kabla haujamlaumu Zizzou usije ukadanganyika na kikombe ulichowafunga Boko haram na Al Ahari za Iraq
 
Nakuandaa kisaikolojia kabisa kabla haujamlaumu Zizzou usije ukadanganyika na kikombe ulichowafunga Boko haram na Al Ahari za Iraq


Huu msimu Zidane kashakupiga mara mbili kwenye official games, kwa hiyo so far Barcelona Mbele ya Real Madrid nawaweka kundi moja na hawa Boko Haram tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…