FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

all in all wanasema dobi wa kweli utamjuwa siku akipewa nguo nyeupe...
wikiendi hii ndio tutamjuwa Dobi wa kweli hapo el Santiago Bernabeu kama ni Ronaldo au Radamel Falcao.

I wish Jesus Gill angekuwepo na amuone huyu Falcao, nadhani sifa ambazo angemmwagia basi hakuna ambaye angezipata Duniani.
 
This wiki kuna manchester derby, man city vs man utd,east andalausia derby granada vs malaga,na soweto derby pirates vs kaizer chiefs,wiki iliyopita tuliona madrid derby real madrid vs atletico madrid na turin derby juventus vs torino.
 
tumeongez gap na watani pamoja na ndugu zao ath.madrid.. ni kuchanja mbuga Visca el barca ..
 
[h=5]Milan-Barça (at the San Siro): 12/13 February. Barça-Milan (at the Camp Nou): 18/19 February.[/h]
 
J2 ni el derby la Barceluni, Fc Barcelona wapo camp nou s wapinzani wao wakuwa wa jiji la Barcelona watoto wa el prat llobregat airport ya kimataifa ya Barcelona Real Club Deportivo(RCD) Espanyol tiu ya kifalme y Espanyol,ni mechi ngumu sana mara a mwisho kw rcd esayol kuhinda ilikuwa 2009 pale camp nou 2-1,na jana walikuwa wanakumbuka birthday ya nahoda wao a zamani alikufa kwa heart attack tarehe 8 mwezi gosti 2009 Dani Jarque i Gonzalez,ambae alikuwa swahiba mkubwa wa Fabregas ktk timu ya vijana ya Spain sambamba na Iniesta. alizaliwa tareh 1 january 1983 na alikufa tarehe 8 agosti 2009,Cesc,Ramos na Iniesta wameshatuma dedication walipofunga magoli kumkumbuka.
 
Aah..., watapigwa tu.
 
Messiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...! Kachukua tena! Wenye chuki naye na msiomkubali mtajibeba. Penda Messi kwa afya bora... ukimchukia yeye ataendelea kuvunja record na wenye chuki naye mtaendelea kununa, mwisho wa yote degedege copyright na ile iliyompata babu wa manu siku ya fainali ya Uefa!
 
King Cup jana Real Madrid kashinda 1st leg santiago bernebeu 2-0 vs CF Valencia,wanarudiana Mestalla nest week,leo estadio Camp Nou ni FC Barcelona vs Malaga,washindi wa mechi hizi wanakutana ktk hatua ya nusu final hapo January 30 1st leg na kurudiana wiki ifuatayo,wafungaji wa Real Madrid alikuwa Benzema na lingine walijinga Valencia huyu Banega
 
King Cup Spain
Barcelona 2 Malaga 2(Messi na Puyol wafungaji Barca,Malaga Ignazio Camacho dk 90)
Real Zaragoza a.k.a Moro UTD 0 Sevilla 0
Atletico Madrid 2 Real Betis 0(Falcao na Felipe wafungaji)
 
Ile red aliyokula Pique i Bernebeu a.k.a shakira ndio iliwafanya kina Xabier Prieto na Carlos Vela kutawala mchezo jana,poa lakini ndio gemu asiekubali kushindwa si mshindani! FC Barca wana mechi 2nd leg king cup huko Estadio La Rosaleda jijini Malaga j5 hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…