FC Barcelona ndiye mbabe wa muda wote Spain

Sio msimu uliopita huyu Baca alipigwa na Madrid wakati Ramos kala red?
Ngoja nimnukuu Ramos " ningejua tunashinda tukiwa pungifu ni bora ningetoka mapema".
 

Attachments

  • wp_ss_20180509_0001.png
    66 KB · Views: 59
  • wp_ss_20180509_0002.png
    60.9 KB · Views: 38
Madrid 33 Laliga Titles, Barca 25.
 
Huwezi linganisha Madrid na club yoyote duniani, let alone Baca.
Ni sawa na kusema Tz tumewapita USA kiuchumu kwasababu mwaka huu TZ tumenunua Bombadia wakati US hawajanunua.
 
On 13 June 1943, Real Madrid beat Barcelona 11–1 at home in the second leg of a semi-final of the Copa del Generalísimo, the Copa del Rey having been renamed in honour of General Franco
 
Ni kweli, Mkuu!
 
On 13 June 1943, Real Madrid beat Barcelona 11–1 at home in the second leg of a semi-final of the Copa del Generalísimo, the Copa del Rey having been renamed in honour of General Franco
Definitely, Thank you!
 
On 13 June 1943, Real Madrid beat Barcelona 11–1 at home in the second leg of a semi-final of the Copa del Generalísimo, the Copa del Rey having been renamed in honour of General Franco
Kipindi hicho mpira haukua modern way, ukisoma ilikuaje hiyo metch utagundua hiyo metch first leg Madrid alifungwa second leg mashabiki wote wa Barca hawakuruhusiwa kuingia uwanjani wakabaki mashabiki wa Madrid, afu wachezaji wa Barcelona ni kama walizuiwa hata kuingia vyumba vya kubadilishia nguo
 
Kwa kuongeza Franco aliwaambia BARCA kuwa endapo wataifunga Madrid anawachinja wote.
 
Labda ipite miaka 100, Ndiyo Barca wamfikie Real Madrid, Mtasota sana lakini siyo leo.
 
Mkuu, Unamwita Barca mfalme!
Mfalme kwa maana ipi hasa?
Kwa kutwaa la liga mfululizo miaka ya karibuni, au kwa kutwaa Copa Del Ray, au kwa kutwaa Eufa?
Labda mimi sifahamu chochote kwenye La Liga, Naomba udadavuzi hapo, Dadavua mkuu! TUJENGANE MKUU!
You just google
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…