Barca barca bro hakuna porojo HP,jana kashinda 5-1., Na mechi ilofuata Madrid real kapigwa 3-2 Na sevillaMara ngapi ktk EL Classico Madrid kamaliza akiwa pungufu?
SIMBA pungufu wameifunga Yanga mara ngapi?
Cameroun haikupigwa red card 2 mwaka 2000, Je hiyo ilimzuia kuichapa Spain na kutwaa Olimpiki?
Nigeria hakutwaa Olimpiki akiwa pungufu mwaka 1996 dhidi ya Argentina?
Ukifanya madhambi, unaadhibiwa au unakula umeme tu!
IPENDE TIMU YAKO, ILA USITIE POROJO NA SIASA KTK SOCCER.
Jana kapigwa Na sevilla Na kumbe Liverpool atatwaa uefaReal Madrid ndiye Mbabe wa Ulaya
WeeeeeeeeeeeeWatu wengi hawaongelei uhalisia wa soccer bali ushabiki na porojo za kisiasa siasa tu, Wengine wanashabikia timu inapofanya vizuri tu, Timu ikiyumba wao wanahama. Ni wachache na makini wanaolifuatilia soccer la Spain kwa muda wote, Lakini wengine ni mahaba niue tu, Watu wengi wameikariri EPL tu, Ligi zingine hawazifuatilii bali wanampenda yule anayetwaa ubingwa tu.
Si mbabe wa ulaya tu, Pia La Liga tangu imeanzishwa miaka yote mpaka Leo yeye ndo kinara wa kombe hilo, Halafu ktk mabingwa 10 wa vilabu wa spain wa miaka yote, Real Madrid wanashika No 1 wakifuatiwa na Athletic Bilbao, Huku Barca akishika no 3.
Duh umerudi hadi 1943?Definitely, Thank you!
Mkuu tuko bize na UEFA wewe unatupigia kelele na vikombe vyako local vya kunywea chai, kutesa kwa zamu ngoja na sisi zamu yetu ifike tuongee kwama wewe.Imedhihirika jana baada ya mechi kali ya el clasico kwa mpambano ule ambao ulishuhudia Barcelona wakitumia zaidi ya dakika 50 wakicheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja na bado wakafunga bao na wakaendelea kushambulia timu pinzani kana kwamba hakukua na upungufu.
Ikumbukwe mechi ya mzunguko wa kwanza Barcelona walishinda 3-0 uwanja wa nyumbani wa Real Madrid na oka imeanza ligi msimu huu Barcelona haijapoteza hata mchezo mmoja na imebakiza mechi tatu imalize msimu.
Hebu tuendelee kuwafuatilia Jumatano hii usiku game ya mwanzo ikifuatiwa na game ya Real Madrid na Sevilla.Hakika Barcelona ni wafalme wa muda wote La liga.
Dogo hukijui unachoongeaSi mbabe wa ulaya tu, Pia La Liga tangu imeanzishwa miaka yote mpaka Leo yeye ndo kinara wa kombe hilo, Halafu ktk mabingwa 10 wa vilabu wa spain wa miaka yote, Real Madrid wanashika No 1 wakifuatiwa na Athletic Bilbao, Huku Barca akishika no 3.
anaumwa huyo,muda woteNikuchokoze mkuu!?
Eti, Barca & Madrid wamekutana mara ngapi?
Aliyemfunga mwenziye mara nyingi ni nani, na kamfunga mara ngapi?
Ni nani anayeongoza kulibeba kombe la La Liga, na amelibeba mara ngapi?
Majibu yako nayahitaji sana mkuu.
Katika miaka kumi iliyopita mpaka sasa Barca katwaa la liga mara ngapi? Ukipata jibu la swali hili ndo utajua kwa nini ni mfalmeMkuu, Unamwita Barca mfalme!
Mfalme kwa maana ipi hasa?
Kwa kutwaa la liga mfululizo miaka ya karibuni, au kwa kutwaa Copa Del Ray, au kwa kutwaa Eufa?
Labda mimi sifahamu chochote kwenye La Liga, Naomba udadavuzi hapo, Dadavua mkuu! TUJENGANE MKUU!
Gaucho wakati anakuja Barca Europa League ilikuwa imeanza? Barca imewahawi kushiriki Europa League? Au unalisha watu matango tu?Kijana kila ligi inawababe wake. Ukitua Spain unakutana na REAL MADRID 30+ ubingwa La liga , Ukitua Italy unakutana na JUVENTUS TURIN 30+ ubingwa wa serie A . Hiyo miamba achana nayo kabisa ulaya. Sasa hivi tunasubiri nani atakua wa kwanza kufikisha vikombe 40 vya ligi kati ya Madrid na Juve. Barcelona Isingekua Dinho kuja kuifufua hadi leo Ingekua kama Real Betis tu au bahati mbaya angeshalifuata chama la ukweli enzi hizo Real Valladolid. Maana kabla ya Dinho kuja kombe lao kubwa lilikua EUROPA LEAGUE. Sababu Dinho alifanya miujiza kuwatoa mavumbini, ndio maana tumemwita Nabii Gaucho.
Kafungwa na Sevilla ndiyo, Kwani hicho ni kigezo pekee cha kumpatia Liver Eufa!?Jana kapigwa Na sevilla Na kumbe Liverpool atatwaa uefa
Kumbe miaka ya karibuni?Katika miaka kumi iliyopita mpaka sasa Barca katwaa la liga mara ngapi? Ukipata jibu la swali hili ndo utajua kwa nini ni mfalme
Kwani kuna tatizo Barca wakishinda 5-1?Barca barca bro hakuna porojo HP,jana kashinda 5-1., Na mechi ilofuata Madrid real kapigwa 3-2 Na sevilla
Hayo ndo mafanikio tunayojivunia kwa miaka kumi katika mpira wa kisasa dunianiKumbe miaka ya karibuni?
Mimi nilifikiri Barca mfalme kwa kutwaa La Liga mara nyingi, Kumbe siyo!? Pole sana mkuu!
Ni kweli mkuu, Kwangu mimi Madrid nimeifuatilia tangu kizazi F.Redondo,F.Morientes,F.Hierro,D.Suker.N.Anelka,M.Salgado,JMGuti,R.Gonzalez,L.Figo,Carlos,De Lima,Zizou,S.MC.Manaman,C.Sanchez,N.K Tangu 1998 hadi leo mkuu.Nimegundua kitu. Kuna watu wameanza kuiona barca 2006 au 2007. hawa wengi wasumbufu sana. Vile vile kunawale madrid CR7 nao wasumbufu sana. Kutwa wanaangalia EPL alafu wanakuja kucomment Inshu za La liga au Serie A wengi wao weupe tu kuhusu soka.
Utoto huo!Katika miaka kumi iliyopita mpaka sasa Barca katwaa la liga mara ngapi? Ukipata jibu la swali hili ndo utajua kwa nini ni mfalme
Eti, Mkuu!Gaucho wakati anakuja Barca Europa League ilikuwa imeanza? Barca imewahawi kushiriki Europa League? Au unalisha watu matango tu?
2008 BarcaNimegundua kitu. Kuna watu wameanza kuiona barca 2006 au 2007. hawa wengi wasumbufu sana. Vile vile kunawale madrid CR7 nao wasumbufu sana. Kutwa wanaangalia EPL alafu wanakuja kucomment Inshu za La liga au Serie A wengi wao weupe tu kuhusu soka.
Klabu bora ya karne ni ipi?anaumwa huyo,muda wote