FC Barcelona ndiye mbabe wa muda wote Spain

FC Barcelona ndiye mbabe wa muda wote Spain

Mara ngapi ktk EL Classico Madrid kamaliza akiwa pungufu?
SIMBA pungufu wameifunga Yanga mara ngapi?
Cameroun haikupigwa red card 2 mwaka 2000, Je hiyo ilimzuia kuichapa Spain na kutwaa Olimpiki?
Nigeria hakutwaa Olimpiki akiwa pungufu mwaka 1996 dhidi ya Argentina?
Ukifanya madhambi, unaadhibiwa au unakula umeme tu!
IPENDE TIMU YAKO, ILA USITIE POROJO NA SIASA KTK SOCCER.
Barca barca bro hakuna porojo HP,jana kashinda 5-1., Na mechi ilofuata Madrid real kapigwa 3-2 Na sevilla
 
Watu wengi hawaongelei uhalisia wa soccer bali ushabiki na porojo za kisiasa siasa tu, Wengine wanashabikia timu inapofanya vizuri tu, Timu ikiyumba wao wanahama. Ni wachache na makini wanaolifuatilia soccer la Spain kwa muda wote, Lakini wengine ni mahaba niue tu, Watu wengi wameikariri EPL tu, Ligi zingine hawazifuatilii bali wanampenda yule anayetwaa ubingwa tu.
Weeeeeeeeeeee
Si mbabe wa ulaya tu, Pia La Liga tangu imeanzishwa miaka yote mpaka Leo yeye ndo kinara wa kombe hilo, Halafu ktk mabingwa 10 wa vilabu wa spain wa miaka yote, Real Madrid wanashika No 1 wakifuatiwa na Athletic Bilbao, Huku Barca akishika no 3.
 
Imedhihirika jana baada ya mechi kali ya el clasico kwa mpambano ule ambao ulishuhudia Barcelona wakitumia zaidi ya dakika 50 wakicheza wakiwa pungufu ya mtu mmoja na bado wakafunga bao na wakaendelea kushambulia timu pinzani kana kwamba hakukua na upungufu.

Ikumbukwe mechi ya mzunguko wa kwanza Barcelona walishinda 3-0 uwanja wa nyumbani wa Real Madrid na oka imeanza ligi msimu huu Barcelona haijapoteza hata mchezo mmoja na imebakiza mechi tatu imalize msimu.

Hebu tuendelee kuwafuatilia Jumatano hii usiku game ya mwanzo ikifuatiwa na game ya Real Madrid na Sevilla.Hakika Barcelona ni wafalme wa muda wote La liga.
Mkuu tuko bize na UEFA wewe unatupigia kelele na vikombe vyako local vya kunywea chai, kutesa kwa zamu ngoja na sisi zamu yetu ifike tuongee kwama wewe.
 
Nimegundua kitu. Kuna watu wameanza kuiona barca 2006 au 2007. hawa wengi wasumbufu sana. Vile vile kunawale madrid CR7 nao wasumbufu sana. Kutwa wanaangalia EPL alafu wanakuja kucomment Inshu za La liga au Serie A wengi wao weupe tu kuhusu soka.
 
No comment but Barcelona in this term is non stop.
 
Si mbabe wa ulaya tu, Pia La Liga tangu imeanzishwa miaka yote mpaka Leo yeye ndo kinara wa kombe hilo, Halafu ktk mabingwa 10 wa vilabu wa spain wa miaka yote, Real Madrid wanashika No 1 wakifuatiwa na Athletic Bilbao, Huku Barca akishika no 3.
Dogo hukijui unachoongea
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Nikuchokoze mkuu!?
Eti, Barca & Madrid wamekutana mara ngapi?
Aliyemfunga mwenziye mara nyingi ni nani, na kamfunga mara ngapi?
Ni nani anayeongoza kulibeba kombe la La Liga, na amelibeba mara ngapi?
Majibu yako nayahitaji sana mkuu.
anaumwa huyo,muda wote
 
Mkuu, Unamwita Barca mfalme!
Mfalme kwa maana ipi hasa?
Kwa kutwaa la liga mfululizo miaka ya karibuni, au kwa kutwaa Copa Del Ray, au kwa kutwaa Eufa?
Labda mimi sifahamu chochote kwenye La Liga, Naomba udadavuzi hapo, Dadavua mkuu! TUJENGANE MKUU!
Katika miaka kumi iliyopita mpaka sasa Barca katwaa la liga mara ngapi? Ukipata jibu la swali hili ndo utajua kwa nini ni mfalme
 
Kijana kila ligi inawababe wake. Ukitua Spain unakutana na REAL MADRID 30+ ubingwa La liga , Ukitua Italy unakutana na JUVENTUS TURIN 30+ ubingwa wa serie A . Hiyo miamba achana nayo kabisa ulaya. Sasa hivi tunasubiri nani atakua wa kwanza kufikisha vikombe 40 vya ligi kati ya Madrid na Juve. Barcelona Isingekua Dinho kuja kuifufua hadi leo Ingekua kama Real Betis tu au bahati mbaya angeshalifuata chama la ukweli enzi hizo Real Valladolid. Maana kabla ya Dinho kuja kombe lao kubwa lilikua EUROPA LEAGUE. Sababu Dinho alifanya miujiza kuwatoa mavumbini, ndio maana tumemwita Nabii Gaucho.
Gaucho wakati anakuja Barca Europa League ilikuwa imeanza? Barca imewahawi kushiriki Europa League? Au unalisha watu matango tu?
 
Katika miaka kumi iliyopita mpaka sasa Barca katwaa la liga mara ngapi? Ukipata jibu la swali hili ndo utajua kwa nini ni mfalme
Kumbe miaka ya karibuni?
Mimi nilifikiri Barca mfalme kwa kutwaa La Liga mara nyingi, Kumbe siyo!? Pole sana mkuu!
 
Nimegundua kitu. Kuna watu wameanza kuiona barca 2006 au 2007. hawa wengi wasumbufu sana. Vile vile kunawale madrid CR7 nao wasumbufu sana. Kutwa wanaangalia EPL alafu wanakuja kucomment Inshu za La liga au Serie A wengi wao weupe tu kuhusu soka.
Ni kweli mkuu, Kwangu mimi Madrid nimeifuatilia tangu kizazi F.Redondo,F.Morientes,F.Hierro,D.Suker.N.Anelka,M.Salgado,JMGuti,R.Gonzalez,L.Figo,Carlos,De Lima,Zizou,S.MC.Manaman,C.Sanchez,N.K Tangu 1998 hadi leo mkuu.
 
Katika miaka kumi iliyopita mpaka sasa Barca katwaa la liga mara ngapi? Ukipata jibu la swali hili ndo utajua kwa nini ni mfalme
Utoto huo!
Kwani tangu 2008 mpaka 2018 ni Barca tu aliyebeba La Liga mwenyewe?
Aliibeba La Liga mfululizo kwa miaka 10 au walikuwa wanabadilishana?
Acheni ushabiki usio na maana, Mfalme si yule anayeongoza kutwaa ndoo nyingi kuliko wengine?
 
Nimegundua kitu. Kuna watu wameanza kuiona barca 2006 au 2007. hawa wengi wasumbufu sana. Vile vile kunawale madrid CR7 nao wasumbufu sana. Kutwa wanaangalia EPL alafu wanakuja kucomment Inshu za La liga au Serie A wengi wao weupe tu kuhusu soka.
2008 Barca
 
Back
Top Bottom