- Thread starter
- #41
Barca barca bro hakuna porojo HP,jana kashinda 5-1., Na mechi ilofuata Madrid real kapigwa 3-2 Na sevillaMara ngapi ktk EL Classico Madrid kamaliza akiwa pungufu?
SIMBA pungufu wameifunga Yanga mara ngapi?
Cameroun haikupigwa red card 2 mwaka 2000, Je hiyo ilimzuia kuichapa Spain na kutwaa Olimpiki?
Nigeria hakutwaa Olimpiki akiwa pungufu mwaka 1996 dhidi ya Argentina?
Ukifanya madhambi, unaadhibiwa au unakula umeme tu!
IPENDE TIMU YAKO, ILA USITIE POROJO NA SIASA KTK SOCCER.