njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Haya majitu ni matapeli na majizi yasiyo na aibu wala huruma, kwa bahati mbaya pale pia watu.vyombo vilivyotakiwa kuwasaidia WANUKA JASHO wa nchi hii wal hawana habari kabisa
Wamekaa meza kuu na majizi hayo wanakula na kusaza , wanukajasho watatjijua wenyewe
Miaka 3 /4 iliyopita hata 2 iliyopita ilikuw abei ikibadilika unakuta ni kampuni moja au mbili wanuka jasho wanakuwa na alternatives ya kukimbilia kampuni nyingine, mafano hai ni Halotel walijipatia wateja wengi sana ila kwa sasa ndani ya siku mbili unakuta wanapandisha kwa pamoja na kwa viwango vinavyofana kabisa.
FCC tume ya ushindani ina maana hamlioni hili jamani? Agh.
HUU NI UMAFIA LA COSA NOSTRA STYLE, HII NI CARTEL WANAKAA MEZANI KWA PAMOJA NA VICHEKO JUU YAKE WAKIJUA WANUKA JASHO HAWANA PA KUKIMBILIA WATAONGEA WATAUFYATA NA HAPO WAZIRI ANAKUWA KESHAWAPASHA VYA KUTOSHA
Wamekaa meza kuu na majizi hayo wanakula na kusaza , wanukajasho watatjijua wenyewe
Miaka 3 /4 iliyopita hata 2 iliyopita ilikuw abei ikibadilika unakuta ni kampuni moja au mbili wanuka jasho wanakuwa na alternatives ya kukimbilia kampuni nyingine, mafano hai ni Halotel walijipatia wateja wengi sana ila kwa sasa ndani ya siku mbili unakuta wanapandisha kwa pamoja na kwa viwango vinavyofana kabisa.
FCC tume ya ushindani ina maana hamlioni hili jamani? Agh.
HUU NI UMAFIA LA COSA NOSTRA STYLE, HII NI CARTEL WANAKAA MEZANI KWA PAMOJA NA VICHEKO JUU YAKE WAKIJUA WANUKA JASHO HAWANA PA KUKIMBILIA WATAONGEA WATAUFYATA NA HAPO WAZIRI ANAKUWA KESHAWAPASHA VYA KUTOSHA