Jamani!!!
Mbona Mbowe ni Makamu mwenyekiti wa Vyama vya Demokrasia Dunia Nzima!
DP WorldFedha anazotumia Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson kwa ajili ya kampeni ya kuzunguka dunia nzima ili achaguliwe Urais wa Spika wa Bunge la Dunia anazitoa wapi.
Ni muda mrefu sasa Spika yuko nje ya nchi na jopo lake la wapambe kumuombea kura nchi mbalimbali kwa gharama za naniView attachment 2700665.
🤣🤣🤣....watu Wana makasiriko sana aisee....speculation kwa Kila kitu...inaonekana rushwa wanakula watu Fulani tu Hawa wengine hawali rushwa kabisa....ni wasafi kwlikwli yaaniJamani!!!
Mbona Mbowe ni Makamu mwenyekiti wa Vyama vya Demokrasia Dunia Nzima!
Fedha anazotumia Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson kwa ajili ya kampeni ya kuzunguka dunia nzima ili achaguliwe Urais wa Spika wa Bunge la Dunia anazitoa wapi.
Ni muda mrefu sasa Spika yuko nje ya nchi na jopo lake la wapambe kumuombea kura nchi mbalimbali kwa gharama za naniView attachment 2700665.
Hilo shetani halifiki popote paleFedha anazotumia Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson kwa ajili ya kampeni ya kuzunguka dunia nzima ili achaguliwe Urais wa Spika wa Bunge la Dunia anazitoa wapi.
Ni muda mrefu sasa Spika yuko nje ya nchi na jopo lake la wapambe kumuombea kura nchi mbalimbali kwa gharama za naniView attachment 2700665.