fedha inahitajika unaporipot chuoni

inategemea na chuo, kwa ushauri kama utaweza kupata 550,000/= itajuwa vzuri, ila usijali, hata kama hutopata hicho kiasi angalau usiende mikono mitupu.
 
inategemea na chuo kipi unakwenda, na pia inategemea kama una mkopo au laa
 
mkuu mi nimepata udsm aquatic environmental science, na nimeomba mkopo..wanataka ada kwanza ndo upate reg or?
 
Na wale wa st.joseph kwa course ya computer science ni kiasi gani kinahitajika pale?
Heshima kwenu wakuu
 
Na wale wa st.joseph kwa course ya computer science ni kiasi gani kinahitajika cha kutanguliza pale?
Heshima kwenu wakuu
 
jaribu kufuatilia chuoni maana kila chuo kina utaratibu wake jinsi ya kujisajili mfano saut na matawi yao unatakiwa uwe na asilimia 40 ya ada pamoja pesa usajili ambayo ni kama 143000.
 
jaribu kufuatilia chuoni maana kila chuo kina utaratibu wake jinsi ya kujisajili mfano saut na matawi yao unatakiwa uwe na asilimia 40 ya ada pamoja pesa usajili ambayo ni kama 143000.

SAUT ada (350000)+examination fee (130000)+ID 10000+Student Union+3000= mi HKL hesabu sijui hebu jumlisha unipe jumla hapo...
 
inategemea na kiasi ulichopewa na bodi though hiyo pia utegemea na chuo husika kama zile direct cost nk
 
kijana mbona unatumia ID yangu?vipi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…