donMramba
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 250
- 42
Kama huna loan hapo 1.05M inakuhusu(ada +direct cost)
Ila kama uta secure loan inategemea umepewa kias gan 40% ya fee+cost ndo watahitaji
asanter mkuu
:A S-key:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna loan hapo 1.05M inakuhusu(ada +direct cost)
Ila kama uta secure loan inategemea umepewa kias gan 40% ya fee+cost ndo watahitaji
asanter mkuu
:A S-key:
ebu funguka chuo unachotaka kwenda tujue tunakushauri vp in effective way!
1050000 kama huna loan.tarehe am nat sure bt kama tarehe 7 hv october...
hiyo 1.05 ni jumla na hostel fees?
yah! Lakini kama
nilivyosema hyo itategemea na chuo husika. Mf. TEKU , wanafunzi wakifika
tu wanaambiwa ili waweze kujisajili walipe kiasi cha 535,000/= kwanza
bila kujalisha mtu analipiwa kiasi gani na bodi. Ila kama mtu hana
wanasubiri hadi HESLB watume pesa zao chuoni.
kiasi gan kinahitajika kwa kampala dsm mpaka ukamilishe regstn kwa anayejua anisaidie nmechaguliwa B of pharmacy ila t fee ni mil 6 nmeomba mkopo.
ada mil 6 kama chuo cha nje ya nchi wakat mimi iyo pesa yako ya ada nasoma miaka 3 na chenji inabak kama mil 3