sangmelina
Member
- Jan 23, 2022
- 11
- 15
Baada ya kumaliza chuo vipaumbele vyangu vilikuwa ni fedha na mali bahati nzuri nimetafuta na nimezipata kwa sasa nina uwezo wa kutunza familia kwa asilimia mia moja hivyo
Napenda kuwatangazia wasichana wenye uhitaji wa kuolewa kwamba natafuta mke naomba tuwasiliane ili tukikubaliana na kupendana tufunge ndoa
Sifa zangu
-Umri wangu ni miaka 37
Sifa za mke.
-Awe na utayari wa kuolewa na kuwa na familia
Mawasiliano
Email adress : sangmelina85@gmail.com
Napenda kuwatangazia wasichana wenye uhitaji wa kuolewa kwamba natafuta mke naomba tuwasiliane ili tukikubaliana na kupendana tufunge ndoa
Sifa zangu
-Umri wangu ni miaka 37
- Nina shughuli halali ya kuniingia kipato ( sina shida ndogo ndogo)
- sina mtoto kwa sababu kumzalisha msichana / mwanamke bila ndoa is not only against will of God but also adultery
- Elimu yangu ni ya chuo kikuuu
Sifa za mke.
-Awe na utayari wa kuolewa na kuwa na familia
- Awe na afya njema
- Asiye na mtoto àtapewa kipaumbele
- At list form six and above education back ground
- Awe na umri kuanzia 25 to 35
Mawasiliano
Email adress : sangmelina85@gmail.com