Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Hata uwe mzuri kiasi gani hata uwe na elim kiasi gani hata uwe na utajiri kiasi gani
mwisho wa siku lazima uwe na mwenzako ..swala si tu kuwa na jina umeolewa la hasha
unaitaji kuwa na mwenzako wakukufunga zipu za nyuma kama didy na mamake
pengine watu wanafikiria ndoa ni just kukaa na kujulikana nimeolewa la hasha
kuna mambo mengi mnaitaji kusaidiana ambayo kama si mwenzako unakuwa kwenye wakati mgumu sana
aijalishi mnaishi kwenye maisha gani fedha ni matokeo..mimi kabla na baada ya kuoa nilikuwa namwambia
mke wangu fedha ni mali yabwana wala usiwe na shaka ilikuwa ni fevour ya mungu ilinifwata kanisan
kuniulizia kiwanja cha heka moja kwa milion 4.5 mbezi beach leo nakula upepo na bibie didy
so aijalishimnaanza maisha gani mwisho wa siku utaitaji kuwa na mwenzako..la maana mpendane'
msaidiane muheshimiane kama mwenzawako hana kazi wala usimuulzie mungu ati mateso gani umenltea
la hasha starehe ya mateso nifuraha..kuwa na furaha mwaminimungu kazi itakufwata..mke wangu akijifungua
anamaliza mkataaba wa kaz i baada ya mwezi nami napumzika kazini..ndan ya miezi mitatu favour ya mungu ikanifwata
nikiwa napiga prayers...so kuwa kwenye shida hiyo ni gea ya kutoka kimaisha mkiwa mmesmama na mungu
mungu akakakupe ufahamu in jesus name
be blessed
mwisho wa siku lazima uwe na mwenzako ..swala si tu kuwa na jina umeolewa la hasha
unaitaji kuwa na mwenzako wakukufunga zipu za nyuma kama didy na mamake
pengine watu wanafikiria ndoa ni just kukaa na kujulikana nimeolewa la hasha
kuna mambo mengi mnaitaji kusaidiana ambayo kama si mwenzako unakuwa kwenye wakati mgumu sana
aijalishi mnaishi kwenye maisha gani fedha ni matokeo..mimi kabla na baada ya kuoa nilikuwa namwambia
mke wangu fedha ni mali yabwana wala usiwe na shaka ilikuwa ni fevour ya mungu ilinifwata kanisan
kuniulizia kiwanja cha heka moja kwa milion 4.5 mbezi beach leo nakula upepo na bibie didy
so aijalishimnaanza maisha gani mwisho wa siku utaitaji kuwa na mwenzako..la maana mpendane'
msaidiane muheshimiane kama mwenzawako hana kazi wala usimuulzie mungu ati mateso gani umenltea
la hasha starehe ya mateso nifuraha..kuwa na furaha mwaminimungu kazi itakufwata..mke wangu akijifungua
anamaliza mkataaba wa kaz i baada ya mwezi nami napumzika kazini..ndan ya miezi mitatu favour ya mungu ikanifwata
nikiwa napiga prayers...so kuwa kwenye shida hiyo ni gea ya kutoka kimaisha mkiwa mmesmama na mungu
mungu akakakupe ufahamu in jesus name
be blessed